shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Na almasi mkononiNo, sikuja na kamba mguuni, nilikuja na msafara wa mbio za mwenge. Sikuwa na kamba japo RC alikuwa Makamba na maji ya kandoro yalikuwa ni viroba
Na almasi mkononiNo, sikuja na kamba mguuni, nilikuja na msafara wa mbio za mwenge. Sikuwa na kamba japo RC alikuwa Makamba na maji ya kandoro yalikuwa ni viroba
Miss you my breath..Missing you
Nilikuwa nimeshasepa mimi..Mmmmh
Kwa hiyo unaleta mashitaka sioSiku nyingine simu yangu anakua nayo yeye cuzoo jaman acha tu
Itabidi wakajining'inize kwenye mti wa nyanya
Acha cuzoo mahaba niue jamankweli mahaba yamepamba moto
![]()

Kwenda zakoHumu yuko founder wa makapuku bitoz a.k.a madengee
Itabidi wakajining'inize kwenye mti wa nyanya




na wewe shemela ukiwepo
AiseeMpambe nuksi wewe
Kuliko wwUtanivunjia ndoa ujue MTU gn wewe hujui kula na kipofu?!
Mahaba niteketezeAcha cuzoo mahaba niue jaman![]()
na wewe shemela ukiwepo
Usinipeleke kwa mkemia tuu!Uchochezi huo Mkuu.
Unaenda wapi kwa mfanoNilikuwa nimeshasepa mimi..