Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yesu akawaambia hamkupata kusoma katika maandiko

Jiwe walilokataa waashi, hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni, Neno hili limetoka kwa Bwana, nalo ni ajabu machoni petu

Kwa sababu hiyo nawaambia, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapeaa taira lingine lenye kuzaa matunda yake

Naye aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika vunjika, naye ye yote ambaye litamwangukia, litamsaga tikitiki.

MATHAYO:21:42:44

Mbarikiwe jamaan muwe na usiku mwema nawapenda sana
Hili ndilo neno LA bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom