Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Muulize mpendwa wako?Silijui mie VP kwani?!
Muulize mpendwa wako?Silijui mie VP kwani?!
Kwamba kwanini walikuwa wanakuita mama wa viporo![]()
![]()
![]()
![]()
Umeifukunyua wp hiyo?
BTW umeelewa nn?!
TunakulaaaaaaMukule kwa macho sasaa
Ipo wapi?Nenda tu ofisini kwake
ShhhhhKifaa cha ukweli hicho
Obrigado shululu wa TumosaHongera kwa 250K
Eti anapima supu vizuri?Aisee
NashangaaNi mpendwa wa binamu ndio kasema
Jiamini shemShemela ebu acha kuzungumzia huo uzi jaman utaniponza aisee
AiseeNgoja tuone.......................wewe Shedede inakuwaje? Yaaani umekabidhiwa jukwaa umeshindwa kuchangamsha hadhira..... Mpaka mashabiki wanatoka.. ....ukiona huu ujumbe nifate inbobo nikupe somo.
Nimuone aisee
Rah PAsyempenda Omotola labda wana chukibiinafsi[/bi]
Nani aliimba hii nimesahau kidogo
Ila kibwagizo ni achana nao
![]()
![]()
![]()
....
Anastahili5/Peace Hyde![]()
Amezaliwa Agosti 9 1985 huko kwa vinara wa uchawi barani Afrika![]()
Huyu ni binti wa Kighana
Ni mwongoza vipindi vya luninga na matamasha katika nchi za Ghana na Uingereza
Ni binti kichwa aliyepata Shahada ya kwanza bila kusapua(supplementary) !!! Ana Degree in Psychology(Hons) kutoka Middlesex University huko kwa Malkia
Ametajwa karibu kwenye kila jarida linalozungumzia wanawake wenyewe mvuto barani Afrika
............
Huoni mwili huoNyonyoooo
Una uhakika shemBinamu bana unapenda vitu vigumu makubwa makubwa hivyo hivyo sasa mpendwa wako mbona anaonekana hana ya hivyo