Makapuku Forum

Makapuku Forum

ee25cf248f9a9eaba1be4a56ad51c8cc.jpg
 
....kuna ufundi hata hayo unayotaka kuyaona huyahitaji.

halafu endelea tu kukiuka makubaliano yetu, mama Ashura katokea wapi sasa hapa wakati unajua kabisa lee empire ndo mmiliki mtekelezaji
Kutokana na story zenu we na anko inaonekana mama ashura ni wako anko wako yuko na mdogo wake ma ashura hapo bado ile michepuko mingine ,
Such as yule baamedi,nesi maria,mama ntilie, na wengineo

Ila pamoja na hayo
I'M STILL LOVE YOU
 
...nina mapengo, labda nitafuniwe kwanza ndo naweza kunywa , itafunwe halafu ipozwe. Na toothpick isisahauliwe, maana unaweza kuanza kuinywa kumbe kuna vilevivuzivuzi havikusafishwa vizuri.
Supu ya kongolo ni nzuri sana ila isafishwe vizuri vile vimanyoya (vivuzivuzi)huwa vinakera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom