Makapuku Forum

Makapuku Forum

9/Omotola Jalade Ekeinde
641e88656014d4f21fe56e727d2c5ac0.jpg


62cff7937c794bc47188127fe3edcc88.jpg
aa95ecbe4f0015ee788831006a1fe90f.jpg
Alizaliwa Februari 7 mwaka 1978
Huyu pia ni mcheza filamu za Kinigeria huko Nollywood
Siyo tu mcheza filamu bali pia ni nyota/superstaa huwezi mlinganisha na akina Johari wa Bongo
Baadhi ya muvi alichocheza na kutamba vilivyo ni
Ije,
A Private Storm,
Mortal Inheritance
& Last Fight to Abuja

Ana mpunga na biashara za kueleweka

............
Pia anaimba
 
6/Daniella Okeke
fa6edcef22129a6822b76a17eb8e20e7.jpg
ce0c3714c19aebefe781f65ef52b2243.jpg
02f0bead77bcf09ccd64b3ae40248fa4.jpg
Amezaliwa Machi 26 mwaka 1987 huko kwa Muhammadu Buhari
Huyu ni binti wa Kinigeria
Ni msanii chipukizi wa Nollywood anayewatetemesha akina Rita Dominic alianza na spid kama ya Jennifer wa Kanumba
bb8afb601136f7f5b9e97499eefa2e08.jpg

Filamu inayomtambulisha ni Lagos Cougars ila pia kuna Luke Of Liers

..............
Zitaendelea baadaye
 
TOP TEN
Week end huanza Ijumaa hivyo leo sitajadili siasa wala uchumi au mambo ya elimu ni burudani,udaku au starehe kama kawa
ce3e29b3091b4cf5be7bacc097daa6d9.jpg

Hapa Bongo hakuna asiyemjua Giggy Money(Muuza Supu) ana mzigo wa nguvu.....

Sasa leo tuwaangalie wale wasanii maarufu kumi wanaosifika kwa kujazia
8d521056b4b6d2a8c6ed8172545d8048.jpg
Hapa hakuna akina Masogange kwenye hii list maana wanaongelewa ambao ni maarufu zaidi hivyo kigezo cha kwanza ni umaarufu wao

Karibuni

..............
Asante, shemela shunie ukae karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom