Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Nampenda huyu mama aisee9/Omotola Jalade Ekeinde![]()
Alizaliwa Februari 7 mwaka 1978![]()
Huyu pia ni mcheza filamu za Kinigeria huko Nollywood
Siyo tu mcheza filamu bali pia ni nyota/superstaa huwezi mlinganisha na akina Johari wa Bongo
Baadhi ya muvi alichocheza na kutamba vilivyo ni
Ije,
A Private Storm,
Mortal Inheritance
& Last Fight to Abuja
Ana mpunga na biashara za kueleweka
............
