Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu bana unapenda vitu vigumu makubwa makubwa hivyo hivyo sasa mpendwa wako mbona anaonekana hana ya hivyo


.....mpendwa wangu ni exceptional case yaani yake ni tofauti na utofauti huo ndo naoupenda, na analijua hilo.

Halafu umejuaje hayo kuwa ni magumu? Sidiria hazina waya tena zinawekwa nondo za kusimamishia nguzo, ugumu lazima uonekane
 
4/Juliet Ibrahim
8958fedfdd217c7c40a700e50ca4170c.jpg
]
1362563a4175a03e3a6aa135ad2647d8.jpg
f3566c98135922953035cd4dcde06ec8.jpg
Alizaliwa Machi 3 mwaka 1986 huko kwa akina Michael Essien na Andre Ayew
Huyu ni binti wa Kighana anayeonekana zaidi kwenye muvi za Kinigeria
Ameigiza kwenye
4 Play,..
30 Days In Atlanta

Na filamu zingine kemkem
Ana madili kibao ya kueleweka hivyo siyo kama yule staa wa bongo anayeazima hadi nguo za ndani

.........
 
Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele kwa haki yako uniponye

Unitegee sikio lako, uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu, nyumba yenye maboma ya kuniokoa

Ndiwe genge langu na ngome yangu, kwa ajili ya jina lako uniongoze, unichunguze

ZABURI:31:1:3

Muwe na usiku mwema mlindwe na damu ya Yesu kristo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom