Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Am fine madame...! And u..?How are u?
Madame S
post using my macbook air using jamiiforums app
Am fine madame...! And u..?How are u?
Madame S
Upo sahihi mdauNmependa ulivyojenga hoja,unaonekana unaelewa na unafahamu vizuri namna ya kujenga hoja....
Nikirudi kwenye hoja husika ni kwamba ni kweli kabisa mgongano wa mawazo unaleta elimu kwa wasikilizaji au wasomaji,lakini ukweli utaendelea kubaki vile vile tu siku zote na ukweli hauwezi kuathiriwa na mgongano wa mawazo au ujinga [kutokujua] wetu....
Kimsingi ukisema Ukimwi unasababisha vifo vingi nitakuelewa lakini siyo wote watakuelewa kama ninavyokuelewa mimi.Mimi nitaelewa Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na life style tu na unatibika lakini wengine wataelewa Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi anayeitwa HIV na huwezi kupona....
Hizo ndizo tofauti kubwa na zina shida kubwa...
Wale wanaodai kwamba kuna kirusi anasababisha Ukimwi hawajawahi kuthibitisha hili zaidi ya kuwa na dhana mbali mbali kuhusu suala hilo na hili ni tatizo kubwa sana.Zaidi sana hakuna binadamu aliyeahi kumuona HIV achilia mbali uwezekano wa yeye kusababisha chochote kwenye mwili wa binadamu....
Sasa basi,ni kwanini watu tena wanasayansi waendelee kuishi kwenye dhana hii?
Hapo ukijiuliza na kufanikiwa kupata jibu utaelewa mambo mengi sana hapa duniani....
AfadhaliiNimebadili device tayar
Yupo vzr jamaa namkubliUpo sahihi mdau
Hata maelezo yako haya mafupi tu mtu atakuelewa
Tena kule jukwaa la Intelejensia huwa sikosi kusoma thread zako
Bahati mbaya kwa hapa Makapuku watu wa kariba yako wapo wachache
.......
Hello Sakayo... You back? Warmly welcome back to the KF.Hello family
Hello my Shunie....
Missing you a lot....
See you guys around!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile mimi ndo jukwaa languYupo vzr jamaa namkubli
Nimeamka salama binamu nafurahi kusikia hivyo jaman kwani wameshaanza kurudishwa kwaoMarahaba aunt yangu, tuko pamoja na makubaliano yetu yapo pale pale. zile habari haziwezi kuja hapa kabisa. Huu ni ushindi kwangu.
Umeamka salama lakini
Nitaenda naeUkienda kwa Demi itakuwaje?![]()
![]()
![]()
Binamu nimekushindwa ujue acha tu nijiwekee mikono kichwani...mbona unaweka mikono kichwani utasema umekatikiwa shanga kwenye daladala la mbagala
Umesahau binamu dagaa na pembeni ugali nakipenda hiko chakulaDagaa zina madini ya chuma, afu ukizitia na nyanyachungu basi joto lile la kupendeza kuingiliana maungoni sio kama wanamieleka. wanaingiliana maungoni wamevaa chupi halafu ukiuliza eti wanagombea mkanda?
wanagombea mkanda huku wamevaa chupi!!
Endelea kula dagaa mpenzi wangu

Nimesha subscribe kabisa lile jukwaa usiku pakitulia his naenda kupitia nondoo..Lile mimi ndo jukwaa langu
Ila hiwa napendelea kusoma thread kimyakimya
Usimsahau pia Mjukuu wa Chifu na thread zake fupi huwa namsoma sana kila akitupia thread
......