Woiiiiiii===HAHAHAHA KUMBE BADO KUNA WATU WANADILI NA HII KITU!!! HUKU BONGO WATU WANAANGALIA MKIA TU WANABEBA WANAWEKA NDANI WAKUNWE VITOVU
===SWAZILAND: Mwanaume mmoja ametaka arudishiwe mahali ya Ng'ombe 24 baada ya kugundua mke aliyemuoa si bikira kama alivyohakikishiwa wakati akifanya taratibu za ndoa.
=== Mwanamke huyo Ruth Thembisile Sibiya amesema kuwa hata yeye hakumkuta mume wake bikira kwakuwa tayari alikuwa na watoto wawili.
===HAKIKISHA NA WEWE MSAFI KABLA HUJAONA UCHAFU WA MWENZIO
Vizuri kama uko na uzimaKwa nini tena jamanii....
Tunasemaga HV Kids love MMU n JLWNamimi nimesubscribe tangu zamani
Lile jukwaa ni zuri kwa watu makini na wanaopenda kupanua upeo wao
.....
Hata mi nashangaa kwa kweli!!Hivi wanajigawaje kwa wanawake wote hao jaman![]()
Oookay santee![]()
Nenda jukwaa husika halafu juu hapo kwenye kitufe weka![]()
.....
+ mbumbumbu wapo bize kupeana & kusaka likes
Wajanja wapo bize kjazana maarifa
It's your choice
![]()
![]()
![]()
.......
akili kumkichwaaJiwe gizanii..Kumbukeni hata huko baharini samaki maarufu (Starfish hawana ubongo hivyo msishangae
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
........