Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Naomba wimbohivyo kivipi tena halafu mimi nimeshabadilika, hili swali nalielekeza kwa mjomba lee empire , mimi halinihusu hata kidogo. Asante kwa kunisikiliza
Naomba wimbohivyo kivipi tena halafu mimi nimeshabadilika, hili swali nalielekeza kwa mjomba lee empire , mimi halinihusu hata kidogo. Asante kwa kunisikiliza
Hi...,halafu ulikimbia swali languHaha..h shem
post using my macbook air using jamiiforums app
Asante Bitoz kwa kubwa kulikoo ...tumejifunza mengii na kujua kipi ni kipi kati ya nile na Amazon....tukimsubiria binamu alewe kidogo ili atupandishie song ebu tupate kionjo ....
Don't mess with kansiime. ...
Gentlemen....Huo ndio uanaume ubarikiwe sana shedede mkaribishe vizuri huyo mariam aliyeingia
Lol! Tulikubaliana anko hakuna kufukua makaburi, sasa mimi nitazibua choo tuone kama hujaomba usuluhishi kama kwa wale mapacha Jenny na Jennifer.
Na hiki choo ni cha stand FYI, wasafiri wote wanaokulaga mahindi na mayai ya kuchemsha ndo kituo chao cha mapumziko

Kwahiyo binamu umemaanisha nini yaan hapo habari zako za bata na limbwata na mimi kumpenda baba d..usichezee limbwata, kuna nyumba moja bata walikula limbwata ilikuwa ni shida, ilibidi wachinjwe wote. Mimi sikula maana inawezekana limbwata liliingiaga kwenye nyama
Na Brazil ndio nchi yenye mito mingiKawaida misitu ndo husababisha mvua sasa huko utasikia Amazon rain forest
Kama ulivyoona picha ule uoto ndo tuseme misitu ya Amazon yaani mto kama kawaida hukatiza porini
Hivyo kuna misitu ya Amazon na kuna mto Amazon ndo wanapoishi Anaconda nafikiri ushawahi kuiona ile muvi na ukaona huo msitu na mto![]()
Walicheza hiyo muvi Jeniffer Lopez na Ice Cube
Mssitu na mto vyote vipo Brazil
.......
Mie nikiwa na wewe silipi kitu binamu yaa utalipa tu kwa lazima
Akikujibu nitagYupi sasa huyo mpenzi wako
Ajaribu aoneUsukume jamaan Baba D kama namuona anatamani ata akuchokoze
Nakuombea upate mwanamke wa kufanana na wewe akupende kama ulivyo shededeGentlemen....
Thanks you shunie,
Mariam you're welcome..
post using my macbook air using jamiiforums app
Which quastion you asked? TumosaHi...,halafu ulikimbia swali langu
Binamu unapenda shanga jamaan
Hi.. sakayo,Ajaribu aone
ImejipostMshindweeee
TokaIlivyokata kata kona ya mombo kuelekea Soni