Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Mie nikiwa na wewe silipi kitu binamu yaa utalipa tu kwa lazimaMkeo ni aunt yangu mimi, mishkaki atajinunulia, maji makubwa ni juu yangu. Namunulia ile Uhai lita 5 baridi akinywa maji yake ya gold anaoga kabisa
Kweli hajabadilikaSi nilijichanganya wakaniambia eti sina udhu, nikawaambia nina udhuru nikajipigia rakaa zangu mbili nikasepa kumfuata Ashura, si unakumbuka mjomba
Angalizo: Hizi ni story za miaka saba au mitano iliyopita, sasa hivi nimebadilika ila anko wangu hajabadilika
Cc.shululu![]()
![]()
Cc husna
Samahani shemela nilikuwa nimesahau

Pole shemela umeamua kurudisha majeshi nyuma![]()
![]()
post using my macbook air pro using jamiiforums
Ila jamila alikupaa nini ...naona unamwagiaa sifaaHuyu huyu mmoja niliyenaye, anayewashinda wote maana hashindani na mtu. Nampenda maana anapendeka na kwa kuwa mimi ni mtulivu basi ananipenda bila masharti, mrembo wa kupendeza, anajipodoa anapodoka na mpododo umetuliza shanga a wewe.
minaweza kukesha naandika sifa zake zote
HaleluyaaMilele Amina
Hiyo salamuKwani vipi
Ahaha kuhesabu nini tena shemelaAnawahi kuhesabu![]()
![]()
It's just a quastion,nothing at allUnataka nn
DuhWenzio watia ndimu
.....hebu ngoja kwanza, nimeshabadilika kabisa. Hata ukiniona leo nimebadilika, huwezi kuamini sikuwa hivi

Woyooooooo moyo wa sakayo tembea na TNi kwa ajili ya roho yangu T....
Uchochezi shemelaNini tena shemela
Hahahahahah haya mamaUlikuwa hujui eeh... Wanasema ukisusa wenzio wala....
Obe lazima achanganyikiwe kwa Kweli