Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyu huyu mmoja niliyenaye, anayewashinda wote maana hashindani na mtu. Nampenda maana anapendeka na kwa kuwa mimi ni mtulivu basi ananipenda bila masharti, mrembo wa kupendeza, anajipodoa anapodoka na mpododo umetuliza shanga a wewe.

minaweza kukesha naandika sifa zake zote
Binamu unapenda shanga jamaan
 
1/Amazon River
f8760da30373c299d8cdc4bb8e874370.jpg
8db02242d0a453b5d4247593c3f9789c.jpg
942e8024d97b3c8250346540a569fec7.jpg

Upo huko Brazil
Kama unamjua Anaconda basi pia unaujua vizuri huu mto na hivyo siandiki sana
Una urefu wa Km 6992
..
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti madam
Tukutane kesho
.......
Msitu Wa Amazon na mto Wa Amazon viko kwenye nchi 1?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom