Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani katika member wote humu ndani ni wewe peke yako uko upande wangu. Nakushukuru sana maana kila mtu ananiona mimi kama mmasai hakuna anayetaka kuniwekea dhamana.

Kama bado uko Moshi pita hapa USA river kwenye mto wa Mungu tupate japo mbili tatu au hata nne tano sio mbaya kila mmoja kwa hela yake
Leo shululu kawa mwemaa kwakooo ....ila kumbuka ulichowaaidiii hawa wa kwa mama wawili
 
1/Amazon River
f8760da30373c299d8cdc4bb8e874370.jpg
8db02242d0a453b5d4247593c3f9789c.jpg
942e8024d97b3c8250346540a569fec7.jpg

Upo huko Brazil
Kama unamjua Anaconda basi pia unaujua vizuri huu mto na hivyo siandiki sana
Una urefu wa Km 6992
..
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti madam
Tukutane kesho
.......
Asante bitoz kwa kumi kubwa
 
Yaani katika member wote humu ndani ni wewe peke yako uko upande wangu. Nakushukuru sana maana kila mtu ananiona mimi kama mmasai hakuna anayetaka kuniwekea dhamana.

Kama bado uko Moshi pita hapa USA river kwenye mto wa Mungu tupate japo mbili tatu au hata nne tano sio mbaya kila mmoja kwa hela yake
Haaaaahaaaa, Asante obe kwa offer ya Heineken
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom