Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Pamoja sana mkali wa JJAsante bitoz kwa kumi kubwa
....
Pamoja sana mkali wa JJAsante bitoz kwa kumi kubwa
Janja yako tushaijua, unataka uitwe wewe ukemee uanze kuwapapasa wenye 'mapepo'

Nakupenda we Baba jamaan![]()
Haya buanaNooop! Sijawa addicted kwa hii kitu, nilikuwa na jaribu kujua how could people behave like, BTW hakuna kitu iko inaendelea saa hii na nimebadiri signature..!
post using my macbook air using jamiiforums app
Mungu azidi kukuweka Baba D wanguAsante ....nothing to say

Haha..h shemWoooooyoooooo
Ahahahhah binamu...nitakuomba msamaha pale yeye akiniomba msamaha, umeona ananvyoniharibia sifa zangu njema kabisa! Yaani isingekuwa yeye sasa hivi mimi ningekuwa Askofu anayeukaribia ukadinali
Pamoja sana muke ya LeeAsante
Yaani katika member wote humu ndani ni wewe peke yako uko upande wangu. Nakushukuru sana maana kila mtu ananiona mimi kama mmasai hakuna anayetaka kuniwekea dhamana.
Kama bado uko Moshi pita hapa USA river kwenye mto wa Mungu tupate japo mbili tatu au hata nne tano sio mbaya kila mmoja kwa hela yake
nilizani unamnunulia 
Sawa T wa SakayoPamoja mkuu
Asante kwa 10 kubwa
Okay,its non of my busness..Iliii ugunduee nini
Nilitaka kujua ya kwakoHahaha kwan ana cc ngapi?
post using my macbook air using jamiiforums app
Huyu ndio binamu yangu mie obe au mtu kahuck id yakeNashukuru mpenzi, yaani ninavyokupenda hata siwezi kukuchanganya majina kama tabia ya anko wangu.
Mimi ni wewe tu kama mfalme wa Swaziland
Yes shemelaNi Daudi
Ha hahahahhaa, ndo ujue ni shida yaani nimesahau hata kuwa huwa nakuwaga wa mwisho.
Nimenunua viatu vipya juzi, jumamosi nitaanza kukaa mbele

Ngoja atajibuAhaha kuhesabu nini tena shemela
B wa HPamoja sana muke ya Lee
....
Hamna uchochezi shemelaUchochezi shemela