Makapuku Forum

Makapuku Forum

44ebb8a43144252de2cdb270cd620379.jpg


Tz kweliiii aliyeturogaa kashadanjaa
Tumefikia hukuu
 
2/Nile River
8a3ca2779dbf2ed660f6a87fdff68494.jpg
034d04a73a6dad6c9165bfe002c7dcbf.jpg

U
d61847d98a72d6d21b1cdcc23e762e85.jpg
Unaanzia ziwa Victoria sijui ndo unaishia na umefika hadi Misri ukikatiza karibia kwenye nchi kama tank
Ila wananufaika zaidi Wamisri na Wasudani ambayo nasikia wametusainisha vimikataba vya kichifu Mangungo hivyo wabongo wanayatizamatazama tu maji wakati wenzao wanafua umeme wabongo wanavua tu vidagaa
Una urefu wa Km takribani 6853
......
 
1/Amazon River
f8760da30373c299d8cdc4bb8e874370.jpg
8db02242d0a453b5d4247593c3f9789c.jpg
942e8024d97b3c8250346540a569fec7.jpg

Upo huko Brazil
Kama unamjua Anaconda basi pia unaujua vizuri huu mto na hivyo siandiki sana
Una urefu wa Km 6992
..
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti madam
Tukutane kesho
.......
 
Msaidie binamu yako


Yaani katika member wote humu ndani ni wewe peke yako uko upande wangu. Nakushukuru sana maana kila mtu ananiona mimi kama mmasai hakuna anayetaka kuniwekea dhamana.

Kama bado uko Moshi pita hapa USA river kwenye mto wa Mungu tupate japo mbili tatu au hata nne tano sio mbaya kila mmoja kwa hela yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom