Apooo sawaaa....unamuonaa aunt yakoo lakiniii???Mkeo ni aunt yangu mimi, mishkaki atajinunulia, maji makubwa ni juu yangu. Namunulia ile Uhai lita 5 baridi akinywa maji yake ya gold anaoga kabisa
Nini tena shemelaShemela jamaan umeanza ujue
Yupi sasa huyo mpenzi wako
Kuna nyimbo hapa naangalia muhenga wewe ya jaydee na kidumu nzuri nayoHehe
Safari muhimu unaenda kigoma nn....ndiyo hakuna kabisa si umesema nibadili! hakuna cha Safari lager wala nini, tunasafari ya muhimu so hakuna Safari lager
Nooop! Sijawa addicted kwa hii kitu, nilikuwa na jaribu kujua how could people behave like, BTW hakuna kitu iko inaendelea saa hii na nimebadiri signature..!Naona umekuwa addicted sana na kuachwa kwako na husna, tatizo ni nini afande
I'm hereMpendwa wa Obe
Nakupenda we Baba jamaanAko kaneno ka mwishooo kamenirudishaa

WoooooyooooooNzuri mkuu
Cc.obe
Ahahhaa ndio hayo majinaWawili
Iliii ugunduee niniD au b?? Na kwanini muweke abbreviation hapo kwanini msiweke full mf..diana au baraka?
post using my macbook air using jamiiforums app
Naona umekuwa addicted sana na kuachwa kwako na husna, tatizo ni nini afande






Hiyo sikiliza wewe tuuKuna nyimbo hapa naangalia muhenga wewe ya jaydee na kidumu nzuri nayo
Mmmmmmh
Shedede ujue anaonaaa
exactly i see but i see nothing,Mtu na Dada yakeMarahaba
Ahahha kwakulazimisha lakiniWenzio watia ndimu
WapiiiiiHujambo
2/Nile River![]()
![]()
UUnaanzia ziwa Victoria sijui ndo unaishia na umefika hadi Misri ukikatiza karibia kwenye nchi kama tank![]()
Ila wananufaika zaidi Wamisri na Wasudani ambayo nasikia wametusainisha vimikataba vya kichifu Mangungo hivyo wabongo wanayatizamatazama tu maji wakati wenzao wanafua umeme wabongo wanavua tu vidagaa
Una urefu wa Km takribani 6853
......
hivyo vidagaa wamerdhika navyo wenyewe
Hahaha kwan ana cc ngapi?Haaaaahaaaa, ngoja nione cc inayofuata