Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lol! Tulikubaliana anko hakuna kufukua makaburi, sasa mimi nitazibua choo tuone kama hujaomba usuluhishi kama kwa wale mapacha Jenny na Jennifer.

Na hiki choo ni cha stand FYI, wasafiri wote wanaokulaga mahindi na mayai ya kuchemsha ndo kituo chao cha mapumziko
Nakukumbushaaa tuu jamaaniii...ata frola ulikuwa unammwagiaa sifa kama hiziii kwa husna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom