Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Hiyo cc vipiiiiiVip tena
cc husna muba
Hiyo cc vipiiiiiVip tena
cc husna muba
SitakiMuulize shunie au lee?
ningeshangaa ungemlipia
Nimeokoka jamaanHuyo ni Heineken tu ile ya rangi ya twaweza![]()
![]()
![]()
![]()
Mwambie binamu yako akuelekeze kutumia simuHivi mbona simu yangu haina hutu tuemoji? Nataka nimtumie mpenzi wangu
Ulikuwa hujui eeh... Wanasema ukisusa wenzio wala....



vingine haviliki ujuePicha gani mjomba!
Si unajua mpwao ubongo MB 121, nachelewa kufahamu afu kusahau kama kupiga ukope

Nakukumbushaaa tuu jamaaniii...ata frola ulikuwa unammwagiaa sifa kama hiziii kwa husnaLol! Tulikubaliana anko hakuna kufukua makaburi, sasa mimi nitazibua choo tuone kama hujaomba usuluhishi kama kwa wale mapacha Jenny na Jennifer.
Na hiki choo ni cha stand FYI, wasafiri wote wanaokulaga mahindi na mayai ya kuchemsha ndo kituo chao cha mapumziko
Utakaa mbele ya wapi
Leo anafuraha sanaHehe
Hiyo shikamoo veepe
Hakuna safari shemelaMbona unamuumiza binamu yako
NitagYupi sasa huyo mpenzi wako
Nzuri mkuu
Cc.obe
Baba D utajikwaaa ujue ebu fanya urudi jamaan ujue nakupenda
Kawaida tu shemHiyo cc vipiiiii
Siku zote mimi ni mwema kwake, tangu kipindi kile cha almasiLeo shululu kawa mwemaa kwakooo ....ila kumbuka ulichowaaidiii hawa wa kwa mama wawili