shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Lol! Tulikubaliana anko hakuna kufukua makaburi, sasa mimi nitazibua choo tuone kama hujaomba usuluhishi kama kwa wale mapacha Jenny na Jennifer.
Na hiki choo ni cha stand FYI, wasafiri wote wanaokulaga mahindi na mayai ya kuchemsha ndo kituo chao cha mapumziko


maswali mengine banaa!