Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Umeandikaa ninSkhamo
Umeandikaa ninSkhamo
Kwahiyo hutaki shikamooHehe
Hiyo shikamoo veepe
Huyo ni Heineken tu ile ya rangi ya twawezaHilo ndo huwa nakupendea aunt yangu, yaani unajua kabisa mapungufu yangu lakini unaniteteaga sana. Ikifika Ijumaa nidai hata mishkaki na maji makubwa ya Kilimanjaro au unapenda Uhai drinking wota?

Na hatuwez kuwepooo nakujuaa...na ntaiformat tenaHivi mbona simu yangu haina hutu tuemoji? Nataka nimtumie mpenzi wangu
Karibu sana mpenzimnikaribishe humu na mimi jamanii...
Hongereni sana kwa hatua mliofikia...tumshagraduate sasa, unaweza kutumia mpenzi au mpendwa interchangeably, yote sawa yaani kama manukato na unyunyu
Nimeulizaa jamaniii
Ulikuwa hujui eeh... Wanasema ukisusa wenzio wala....
ahahahhhMke wangu ndo unamdanganya na mishikakiii kweliii..mmke ya pedeshee ??
Safari hakunaaaa
hajui kuachika kabisa shedede aibu unaona wewe uliyemwacha
Obe naomba wimbo wa Jd ngakukunda, Nakupenda, I love you n.k..........






muhenga kwenye ubora wakoMbona unamuumiza binamu yakoSafari hakunaaaa
Karibu sanaaaamnikaribishe humu na mimi jamanii...
Sawa sawaAta tudipoeendaaa
MhSkhamo