Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mwambiee akuombee samahaniiiahahahhh
Mwambiee akuombee samahaniiiahahahhh
...huna dogo nawe jamani, yaani atoke Moshi aje Arusha halafu nilipe vinywaji? Azimio la Arusha linakataza mambo haya





Karibu sanamnikaribishe humu na mimi jamanii...
hajui kuachika kabisa shedede aibu unaona wewe uliyemwacha
king'ang'anizi balaa
...si humu Makapuku, kila siku nakaaga mwisho mwisho tu, nataka niwe wa kwanza kujua mambo




Mnakomoaanaaa??Nzuri mkuu
Cc.obe
Shemela jamaan umeanza ujueLeo anafuraha sana
Mke wangu ndo unamdanganya na mishikakiii kweliii..mmke ya pedeshee ??

Si umeelewa lakiniUmeandikaa nin
Binamu umeambiwa na Baba D uniombe msamahaMwambiee akuombee samahaniii
SitakiiiiMwambie binamu yako akuelekeze kutumia simu
SijamboKwahiyo hutaki shikamoo
Mnani changanya kwakweli, mala baba "d" mala baba "b" au mna watoto wawili?Baba D utajikwaaa ujue ebu fanya urudi jamaan ujue nakupenda
Chaguo la husna muba linakuja kwanza, wewe lako litasubiri sana, yaani leo akichagua wimbo naweka album nzima, akiomba album namletea band nzima, akiomba picha namletea na negative.
Chaguo lako litasubiri hadi Ramadhan ijayo. Kupenda kazi kama ulikuwa hujui hii ndo masterPhD

Umekandamiza kabisaObe naomba wimbo wa Jd ngakukunda, Nakupenda, I love you n.k..........
MarahabaSijambo