Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,308
- 35,766
Mkuu, we njoo kesho asubuhi..Eid Mubarak wanajukwaa. Yeah, sikukuu ya kuchenja, mkesha umeanza jana na leo tunamaliza. Ndiyo sikukuu pekee ambayo si Bakwata wala Chimumuna wa hapa Mtwara tunakubaliana bila kuangaliana kwa jicho la tenge.
Binafsi, sijachinja ila najua kwa aliyechinja atanikaribisha maana nyama lazima igawiwe mara tatu, kwa familia na ndugu, pili kwa marafiki na majirani na tatu kwa masikini unaowajua hawana uwezo.
Toa sadaka na tii amri za Mungu.
makaveli10 fanya urushe kuku mmoja wa kienyeji pande hizi, naelekea Mjimwema nikaoshe macho
Maka mchoyo hata kunipa mualiko wa kula kwiyoo mshkaji wangu..!!Mkuu, we njoo kesho asubuhi..
Sheria ya dini inataka mnyama mwenye miguu mi4..
Mie nimechukua kuku wawili nimewabananisha na kuchinja 😂🤣
Karibu sana tupate upepo wa bahari.
Njoo, kwio wapo wa kutosha na leo nimeangusha kwio wengine...Maka mchoyo hata kunipa mualiko wa kula kwiyoo mshkaji wangu..!!
Ninjema, ilinibidi jana nishindie mikate.Jana nilitembea na ndoo ya nyama nakutafuta mitaa yote sikuoni.
Bro habari yako🖐
Pole bro😂Ninjema, ilinibidi jana nishindie mikate.