Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hamna bhanahahah ndio nimetoka huko dada wewe na manga nimewashindwa mjue
Hamna bhanahahah ndio nimetoka huko dada wewe na manga nimewashindwa mjue
Shkamo ObeKoh Koh Koh, natest maua kwa mara ya pili, ikishindikana tena nitachukua maamuzi magumu na mazito.
Dada unafkili nafanyaje sasa jamanWe mbaya kumbe...
Nakuonaa nakuonaaa
Hahaha
Ujana wake alikula na bibi



babu nae ni muhenga nani anataka mambo ya kuwashiana moto na kuchemshiana maji ya moto ya kuogaDuu hii ni hatari10/Russia![]()
![]()
Ni Taifa kubwa duniani kiuchumi,kijeshi n.k
Ni nchi yenye idadi kubwa ya watu takribani Milioni 145...Ni miongoni Nchi kumi zenye watu wengi duniani na wanaongezeka tu
Nani kasema UKIMWI ni wa watu weusi tu ? Hata Wazungu wanao
Warusi takribani 950,000 wana ngoma
.....
Akiiii Dada nimewashinda na manga wakoHamna bhana
Aishi kidogo atupe methaliDada unafkili nafanyaje sasa jaman
Hahahababu nae ni muhenga nani anataka mambo ya kuwashiana moto na kuchemshiana maji ya moto ya kuoga
Hahahabinti kiziwi huo
Haya bwana...Akiiii Dada nimewashinda na manga wako
Awe na huo uwezo sasa wa kuweka sasa yaan ngoja aje hilo jibu lakeHahaha
Siku hizi kuna bomba za maji moto
Hahahamgaa na upwa hali wali mkavu woiiiiiii
HahahaAwe na huo uwezo sasa wa kuweka sasa yaan ngoja aje hilo jibu lake
Asante Mama tumekumiss ujue
Nilijua tu dada ujue nawe muhenga wanguHahaha
Huo huo oooo

Hahaha
Wasambaa bhana.... Wapiii Mndali atupe mrejesho wa Safari ya Tanga






mndali kwa kuponda ngoja aje kuua