Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Russia
c545a918b479cada43ed2901a93ed4a8.jpg
1efa64842ef7d0040a53068dbbcd0e24.jpg

Ni Taifa kubwa duniani kiuchumi,kijeshi n.k
Ni nchi yenye idadi kubwa ya watu takribani Milioni 145...Ni miongoni Nchi kumi zenye watu wengi duniani na wanaongezeka tu
Nani kasema UKIMWI ni wa watu weusi tu ? Hata Wazungu wanao
Warusi takribani 950,000 wana ngoma
.....
Duu hii ni hatari
 
9/USA
33ce3b1fe0077d19c912d013cebdecb0.jpg
8f92d18ea33ee8f68031957e7fd5eb5f.jpg

Marekani pia hachomoki
Pamoja na ngebe na kujiona wao ndo kila kitu duniani ila jamaa nao wanakanyaga tu miwaya kama Waafrika
Donald Trump anaongoza taifa lenye watu zaidi ya 320,000,000 siyo kazi ndogo
Weusi ndio walioathirika zaidi mfano Arthur Ashe ambaye alikuwa ni staa mweusi wa tenisi ni miongoni mwa waathirika wa mwanzo mwanzo ila siku hizi mastaa kibao tu wana ngoma
Kama mnavyojua watu weusi bangi,pombe,ngono ndo vitu tunavyovimudu
Wamarekani takribani 1,200,000 wana VVU
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom