Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
AiseeeeWanajiuaga siku hizi
Kweli Tunaenda na wakati
AiseeeeWanajiuaga siku hizi
Yaani nina evidence..Hakuna ukweli wowote.. Ila baadhi ya wanawake huwa wanataka hizo operation kwa kuogopa maumivu ya uchungu....
Hakuna Doctor anaependa kumpasua mwanamke with no reason, ila wale wenye nasaba bora hufanya kuomba kabisaa
Humjui banaHata mimi namjua..
Wewe ni mbavu kutoka ubavuni mwangu, wewe ni nyama katika nyama zangu..Teh teh teh...
Wewe Mungu alikudondosha hakyamama...
Si kwa wakati huo jamaan vingine sio vya kuigaAiseeee
Kweli Tunaenda na wakati
Aisee5/Mozambique![]()
![]()
Wamakonde pia wamo
Inaonekana tunezungukwa pande zote na nchi zenye UKIMWI
Msumbiji ina idadi ya watu wanaokaribia 30,000,000 ...ni miongoni mwa nchi maskini zaidi duniani
Wenye ngoma wanafikia 1,450,000
........
NakupendaWewe ni mbavu kutoka ubavuni mwangu, wewe ni nyama katika nyama zangu..
Sakayo Made for T
T ukuje hapaNitakutunza mboni yangu
HahahaSi kwa wakati huo jamaan vingine sio vya kuiga
Kapuku forumKF ndio nini kaka?
Na historia inaonesha ukimwi Tanzania ulianzia mipaka ya Uganda na Tanzania ...kagera Bukoba ndo ulipenya ...7/Uganda![]()
Wangekosekana Waganda ningeandamana !!![]()
Nani hamjui Iddi Amin Dada ? Dikteta orijino na mbabe aliyekuwa analalisha kitambi chake kwa kila mwanamke nzuri aliyemtamani....Alikuwa na furushi la watotohata idadi kamili sijui
Yoweri Museveni anaongoza nvhi yenye idadi ya watu takribani 41,000,000 na kila siku anawaibia kula tu
Waganda waliokanyaga miwaya wanafikia 1,250,000
........
Kweli dada ujue hivi unaanzaje anzaje nawaza tu apaHahaha
Ukimwi eti![]()
tutafute nini we bitoz

Binamu heshima yako .......halafu ni tamu kama maginiziamu, ukizinywea na maji ni kama umekula Vicks kingo
Sina uhakika na hilo, hebu waza je pasingekuwa na hiyo hela???? Wengi huwa wanatoka kwenye familia bora, ila pia daktari ndo anaejua hali ya mgonjwa, mpaka aamue ni kisu au la.....Yaani nina evidence..
Kuna rafiki zangu 3 wemepeleka wake zao private wote wamekula kisu..
2 walienda govt wamejifungua kawaida? Then nikaaza kusikia hizi rumours