Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/Mozambique
a43d1dcaeab7f91bd511cd330955fff4.jpg
899d06fb379184b5ea9295ccdca85823.jpg

Wamakonde pia wamo
Inaonekana tunezungukwa pande zote na nchi zenye UKIMWI
Msumbiji ina idadi ya watu wanaokaribia 30,000,000 ...ni miongoni mwa nchi maskini zaidi duniani
Wenye ngoma wanafikia 1,450,000
........
 
Hakuna ukweli wowote.. Ila baadhi ya wanawake huwa wanataka hizo operation kwa kuogopa maumivu ya uchungu....

Hakuna Doctor anaependa kumpasua mwanamke with no reason, ila wale wenye nasaba bora hufanya kuomba kabisaa
Yaani nina evidence..

Kuna rafiki zangu 3 wemepeleka wake zao private wote wamekula kisu..

2 walienda govt wamejifungua kawaida? Then nikaaza kusikia hizi rumours
 
7/Uganda
207c189bfcc8e997a6076992305bd421.jpg
c028b24921ea113a8847b6c3bc014628.jpg
0e8613c3dd4f9cbd0a2d73d52b4f7489.jpg
Wangekosekana Waganda ningeandamana !!
Nani hamjui Iddi Amin Dada ? Dikteta orijino na mbabe aliyekuwa analalisha kitambi chake kwa kila mwanamke nzuri aliyemtamani....Alikuwa na furushi la watotohata idadi kamili sijui
Yoweri Museveni anaongoza nvhi yenye idadi ya watu takribani 41,000,000 na kila siku anawaibia kula tu
Waganda waliokanyaga miwaya wanafikia 1,250,000
........
Na historia inaonesha ukimwi Tanzania ulianzia mipaka ya Uganda na Tanzania ...kagera Bukoba ndo ulipenya ...

Vijiji vya bukoba katika wilaya ya missenyi impacts ni kubwa sana
 
Yaani nina evidence..

Kuna rafiki zangu 3 wemepeleka wake zao private wote wamekula kisu..

2 walienda govt wamejifungua kawaida? Then nikaaza kusikia hizi rumours
Sina uhakika na hilo, hebu waza je pasingekuwa na hiyo hela???? Wengi huwa wanatoka kwenye familia bora, ila pia daktari ndo anaejua hali ya mgonjwa, mpaka aamue ni kisu au la.....

Na ikumbukwe uzazi wa miaka hii umekuwa wa shida mnoo kutokana na Vyakula tunavyokula pamoja na madawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom