Makapuku Forum

Makapuku Forum

... husna muba maua yako ni furaha machoni na moyoni mwangu. Asante sana mpendwa/mpenzi
Kutokana na sababu zilizowezeshwa na mjomba lee empire nimeshindwa kukutumia maua hapa, ila wiki ijayo nenda posta nimekutumia post kadi nzuri sana.
Afu sijui kwanini wanachelewesha barua, wiki nzima jamani. Ndo maana nafoji stamp tu
asante kwa kadi mpendwa mpenzi wangu joomoooniiiiii





 
Anko nimekuona bhana, nakusalimia

Ile kesi niliianza baada ya kuanzishwa, na inakuhusu sana inabidi tu ujikakamue ukamalizane naye. Halafu kaungana na yule bonge mhamiaji haramu, si unamkumbuka ulimfanyia dhulma (ulimpa hela ya burundi kwa kuwa mlikuwa gizani)
Hii kesi ipo kabisa nje ya mawazo yangu ...binamu ebu fanya kama nahitaji msaada wako sasa bonge huyu ataua mtu ....


Zile pesa alishapiga mahesabu atachenjiii dolareeeee....


Kwishaaa habariii yake
 
2/Nigeria
4995800e2cb3caf56dbf2c2390191e1a.jpg
08dbf0462155d120b3cd771821550a1f.jpg
5da7ad25cac2faa2590eaba7e6528634.jpg

Matapeli hawa wa Afrika Magharibi nao wanamalizana kwa ngoma au tuseme wanatapeliana hadi Virusi vya Ukimwi
Nigeria ndo nchi yenyeidadi kubwa ya watu barani Afrika ikiwa na watu takribani 192,000,000 yaani karibia X 4 ya Wabongo
Wanigeria ambao wamekanyaga ngoma wanafikia 3,300,000
........
 
Hii kesi ipo kabisa nje ya mawazo yangu ...binamu ebu fanya kama nahitaji msaada wako sasa bonge huyu ataua mtu ....


Zile pesa alishapiga mahesabu atachenjiii dolareeeee....


Kwishaaa habariii yake


Si alinifuata nikamchenjie, nilipoziona zimeandikwa amajambele amafuranga ikumi nikajua tayari mtu kaliwa kwa furahabubu.
Anakumind sana hadi leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom