Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Ya kichina haya
Mjomba tafadhari, yawe ya kichina au kiajemi nimeyapokea.
tena ya kichina huwa hayantauki, ukiona yanalegea unayapiga pasi yanasimama kama ya leo
Ya kichina haya
Sakayo,naomba kale ka video " to me ur perfect"Umeonaee
... husna muba maua yako ni furaha machoni na moyoni mwangu. Asante sana mpendwa/mpenzi
Kutokana na sababu zilizowezeshwa na mjomba lee empire nimeshindwa kukutumia maua hapa, ila wiki ijayo nenda posta nimekutumia post kadi nzuri sana.
Afu sijui kwanini wanachelewesha barua, wiki nzima jamani. Ndo maana nafoji stamp tu
asante kwa kadi mpendwa mpenzi wangu joomoooniiiiii
mungu atukinde na ujinga huoAiseee kujiua ili huku unamuacha mwenzio anakula maraha Mungu anisamehe huko siwezi fika
Mijinga sana na kama wewe ni miongonii bhasi ndo walewale
mi najielewa banaawe nae na BH wako
![]()
![]()
umependa usipopendwa
Jiandae na ww kumeza hzo
Hii kesi ipo kabisa nje ya mawazo yangu ...binamu ebu fanya kama nahitaji msaada wako sasa bonge huyu ataua mtu ....Anko nimekuona bhana, nakusalimia
Ile kesi niliianza baada ya kuanzishwa, na inakuhusu sana inabidi tu ujikakamue ukamalizane naye. Halafu kaungana na yule bonge mhamiaji haramu, si unamkumbuka ulimfanyia dhulma (ulimpa hela ya burundi kwa kuwa mlikuwa gizani)
SawaMimi niliziona kwenye TV nikazipenda, kama na wewe una TV angalia utazipenda tu
....sikia kale ka kauli mbiu ketu ka kuanza kurudisha vyetu naanza practical na yeyeHa hahahahaha, ndo ile Galaxy sijui nini nini. Ukimnyang'anya usinipe mimi bhana, kutumia simu iliyokwisha tumika hapana, afu huwa namuoan anataipia kidole pendwa
Kwa hiyo binamu unataka kusemajeeMjomba tafadhari, yawe ya kichina au kiajemi nimeyapokea.
tena ya kichina huwa hayantauki, ukiona yanalegea unayapiga pasi yanasimama kama ya leo
Safari hiyo ....ndio safari na mziki
Hii kesi ipo kabisa nje ya mawazo yangu ...binamu ebu fanya kama nahitaji msaada wako sasa bonge huyu ataua mtu ....
Zile pesa alishapiga mahesabu atachenjiii dolareeeee....![]()
![]()
Kwishaaa habariii yake
Basi SawaHa ha ha... Na wao c wanatumia smartphone
Kapi Hako mkuuSakayo,naomba kale ka video " to me ur perfect"