Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Niko hai mieeYe kakufwa kabisa
Niko hai mieeYe kakufwa kabisa
Najua dada bado tukuzike tuNiko hai miee
Tabasamu lako mie hooooi...Mimi nimeoza ujue..
hahahaha karibu tenaNilijiteka jamaan mmecharuka jamaan na signature zenu
Yaan tena arv zinanenepesha sana jamaan
YesHahaha
Unakumbuka



...
Aisee ndio zina taste hiyo binamu...halafu ni tamu kama maginiziamu, ukizinywea na maji ni kama umekula Vicks kingo
Ebu cheka nizimie..Tabasamu lako mie hooooi...
KF ndio nini kaka?
Ila umvumilivu ujue nikikumbuka sipati picha dada roho ya T kama ya naniYes
Nilikuwa nimezoeana na shunie..!
Jamaa narusha kamba mtoto unasema eti speechless...
Nikaona nije MMU kabisa, kidogo kidogo shunie akawa anakuongelasha kibondei
Nakaja chumbani !...
Ewaaaaaa
Aiseee kweli ni janga6/Tanzania![]()
![]()
![]()
Ferouz aliimba Starehe zimemponza .....Mwanafalsafa akaimba Alikufa kwa ngoma Komba nae pia akaimba kivyake
UKIMWI ni janga Tanzania binafsi ni mtu wa Green City na nimezika ndugu wengi kutokana na hili janga ambalo kwa Tanzania Mbeya ni miongoni mwa vinara....Wanyaki kwa kupenda ngono nafikiri wanajulikana ila pia sababu nyingine ni ya Kijiografia
Kwa wasanii Twanga Pepeta wamepukutishana wenyewe kwa wenyewe kutokana na kupasiana nasikia kuanzia BanA,Aisha Madinda,Diana Aston Villa,Abou Semhando wote walikuwa na ngoma huku Ally Chini mzee wa mafarasi naye nasikia humo
Tanzania ina idafi ya watu zaidi ya Milioni 50
Watanzania zaidi ya 1,400,00 wamejiunga grid ya taifa
.......
Mmmh6/Tanzania![]()
![]()
![]()
Ferouz aliimba Starehe zimemponza .....Mwanafalsafa akaimba Alikufa kwa ngoma Komba nae pia akaimba kivyake
UKIMWI ni janga Tanzania binafsi ni mtu wa Green City na nimezika ndugu wengi kutokana na hili janga ambalo kwa Tanzania Mbeya ni miongoni mwa vinara....Wanyaki kwa kupenda ngono nafikiri wanajulikana ila pia sababu nyingine ni ya Kijiografia
Kwa wasanii Twanga Pepeta wamepukutishana wenyewe kwa wenyewe kutokana na kupasiana nasikia kuanzia BanA,Aisha Madinda,Diana Aston Villa,Abou Semhando wote walikuwa na ngoma huku Ally Chini mzee wa mafarasi naye nasikia humo
Tanzania ina idafi ya watu zaidi ya Milioni 50
Watanzania zaidi ya 1,400,00 wamejiunga grid ya taifa
.......
Nani mvumilivu?Ila umvumilivu ujue nikikumbuka sipati picha dada roho ya T kama ya nani



Aiseeee...7/Uganda![]()
Wangekosekana Waganda ningeandamana !!![]()
Nani hamjui Iddi Amin Dada ? Dikteta orijino na mbabe aliyekuwa analalisha kitambi chake kwa kila mwanamke nzuri aliyemtamani....Alikuwa na furushi la watotohata idadi kamili sijui
Yoweri Museveni anaongoza nvhi yenye idadi ya watu takribani 41,000,000 na kila siku anawaibia kula tu
Waganda waliokanyaga miwaya wanafikia 1,250,000
........
Mwenyewe simuelewi ujueNani mvumilivu?![]()
HahahaIla umvumilivu ujue nikikumbuka sipati picha dada roho ya T kama ya nani
itupe binamu