Mdau nenda Jukwaa la Tech & Gabadge kuna wataalamu watakusaidia zaidiTECNO N8 HAIWAKI, NIFANYEJE?
Nisaidiei jamani. Simu ya Tigo Tecno N8 haitaki kabisa kuwaka. Nimechomoa na kurudisha battery lakini hakuna tu.
Nifanyeje? Wajuzi nisaidieni.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Binamu nikupe nini jamaaanumeufanya usiku wangu uwe mzuri sana binamu
Nakupenda sana binamu nikitaka nyimbo yoyote unaniwekea Mungu azidi kukuwekana usumbufu wangu huuu nizoee tu mie ndio nilivyo
Naipenda sana hii nyimbo binamu na hiyo band ni band bora kwangu kuliko band zozote binamu si unajua mie kizazi cha dot.com sijakutakuna na bakurutu wala vijana jazz au msondo wala sikinde
Tangu ujue nnno moja tu la kiingereza umekariri imekuwa shidaGood
Kwendaaaa zakoooSitakii
Habari mkuu ShululuSheeemeeelaaa za siikuu, nitapitaa kuwasalimiiiaa
Asante Obe....OOOH MOLA NIPE UWEZO.......HIVI DIOUF YUPO WAPI JAMANI?KITAMBOMuziki: Good to See You
Nakusalimia Kapuku mheshimika, unajua kabisa salamu katika kipengele hiki ni muhimu. Yaani salamu ni muhimu hata kile kidole pendwa ambacho natumia kutaipu kinajua nini cha kufanya katika para ya kwanza. naamini umekuwa na siku nzuri na muda huu wa usiku umejituliza kutafakari nini ufanikishe kesho. Hongera na ni jambo zuri kukuona hapa.
Kuonesha fuuraha huwa sishindwi na lazima niseme kuwa karibu sana Shunie , Mndali ndanyelakakomu na shedede , nyie watu tuliwamiss hapa na zaidi aunt yangu ambaye tuna mipango mkakati wa maana sana, mkakati wa kujamiiana (soscialize) tukiwa na safari ya maisha yangu kule Kigamboni.
Muziki sasa, kwanza Bobi Wine mwanamuziki wa kule Uganda kashinda Ubunge na ni furaha sana jijini Kampala, alikuwa ni mgombea huru na bungeni kakaa na wapinzani. Sasa hapa kwetu mwaka 2005 Twanga Pepeta, magwiji hawa wa dansi chini ya Le generali na rapa mkali Diof walinogesha mwaka kwa album yao Safari.
kwa niaba ya Shunie tafadhari burudika na wimbo huu.
Niliona vita ya hii kitu nikaomba kiniepushie mbaliii... 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂Si Husna?
Au nilikosea
.....
mzeewakungoa shikamoo nimependa avatar yakoHabari mkuu Shululu
Binamu kule hamna wa kuwahi wa kwanza ni wa kwanza tu niamini me tutaenda na safari ipoooAm flattered, nashukuru aunt yangu wa ukweli. Furaha yako anaifurahia anko wangu na Mimi ndo nafurahia pia.
Mwenyewe zama za kina Mzee Jangala so utajua kabisa rtd ndo ilikuwa mpango mzima.
Nakupenda pia, sana tu na hasa unaponihakikishia kwenda kuleee (sipataji maana nishaanza kupata wasiwasi watu watatangulia kabla yetu)
Alikua uingereza sidhani kama karudi alikuwa anaishi huko mama na mwanamke wakeAsante Obe....OOOH MOLA NIPE UWEZO.......HIVI DIOUF YUPO WAPI JAMANI?KITAMBO
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Mbona mapema mkuu... Au uko second honeymoon?Usiku mwema makapuku wote
Mpendwa atakuletaa
Tunataka uzi... Mlipo takana mlileta uzi.Wala haina shida, mie mwenyewe simtakii..
Mambo mazuri yatanipita nikiskipAlafu na wewe uache tabia ya kutoskip page ukichelewa ....
Hehe, nimemuona aunt yangu na safari ya Kigamboni naiona inanukia.
Kama utatusindikiza hakikisha umeulamba, mambo ya kuja na msuko tangu pasaka tutaachania kwenye pantoni