Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Mi km nimempenda mtu najilipua tu sinaga huo uwoga kukubaliwa na kukataliwa yote ni majibuMimi nikimwendea mtu pm kweli huwa siwezi kumtongoza, mtongozano ni hapa kweupeee na yanaishia hapa hapa
Akinikataa sinaga visa wala mnuno nae tutachat km kawa
Akinikubali mambo yetu pia yataishia huko huko
.
Kuhusu mbembelezo sina hata mwenzetu yule anayetaka abembelezwe km mfalme kamwe asitarajie mimi kumquote labda aanze yeye kuniquote
Kwangu mimi mtu pekee ninayembembeleza ni yule aliyenipa "ile heshima" ambayo siyo kila mtu anampa
..............