Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Manchester United bado hawajaweza kutoa kiasi wanachotaka Inter Milan ili kumsajili winga Ivan Perisic, 28, lakini wanatazamia kukamilisha mkataba wa pauni kati ya milioni 45 hadi 50 (Independent).
Hao wengine zaidi ya Morata ni habari tu za kuuzia magazeti
......