Makapuku Forum

Makapuku Forum

Manchester United bado hawajaweza kutoa kiasi wanachotaka Inter Milan ili kumsajili winga Ivan Perisic, 28, lakini wanatazamia kukamilisha mkataba wa pauni kati ya milioni 45 hadi 50 (Independent).
1454222f1a1cf4c7057f23046e938ce4.jpg
93b0c458ce0469e8fa6c074f36954f56.jpg
Huyu kweli fundi na Man Utd tunamuhitaji
Hao wengine zaidi ya Morata ni habari tu za kuuzia magazeti
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom