Makapuku Forum

Makapuku Forum

Manchester United bado hawajaweza kutoa kiasi wanachotaka Inter Milan ili kumsajili winga Ivan Perisic, 28, lakini wanatazamia kukamilisha mkataba wa pauni kati ya milioni 45 hadi 50 (Independent).
1454222f1a1cf4c7057f23046e938ce4.jpg
93b0c458ce0469e8fa6c074f36954f56.jpg
Huyu kweli fundi na Man Utd tunamuhitaji
Hao wengine zaidi ya Morata ni habari tu za kuuzia magazeti
......
 
Hi Kapuku hotel mpishi hatendi haki kabisa anko, hivi ni lazima kila mchana tupikiwe ugali?

Wengine ni watu wa wali kwenda mbele, asubuhi tunaanza na vitumbua, mchana biriani , jioni walinazi. Kabla hakujakucha tunagonga kiporo
Mi sijala ugali Siku ya 3 hii
Aache kukariri
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
......
 
Back
Top Bottom