Hapo kuna ukweli![]()
Ukiambiwa nipe muda nifikirie ujue umeuzwa maana Dk 1 unusu pekee inatosha
......
Una uhakika shululuAme sign Bayern
Aisee kila rakher kwake
Inter wana bana kichizi
Huyu kweli fundi na Man Utd tunamuhitaji![]()
Hao wengine zaidi ya Morata ni habari tu za kuuzia magazeti
......
Na ukiona mtu anabembeleza penzi huyo naye ni "mtu mdogo"
Ukiona thread inabembeleza watu wapost hiyo pia ni thread ndogo
Ukiona mtu anabembeleza urafiki huyo pia ni "rafiki mdogo"
![]()
![]()
![]()
........
UhakikaUna uhakika shululu
Thanks bitoz![]()
End
.......
Yeye amelusha gizani, sasa liliyempata mimi

Akiniambia nimpe muda namjibu sawaHapo kuna ukweli
Limenipata mkuu, nisiwe mwongo, huyu jamaa kwa vijembe ninmwelewa sanaYeye amelusha gizani, sasa liliyempata mimi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Usajili Mwisho Agosti 30Inter wana bana kichizi
Nipo
Mimi nikimwendea mtu pm kweli huwa siwezi kumtongoza, mtongozano ni hapa kweupeee na yanaishia hapa hapaSinaga hizo
Hata hapa KF huwezi nikuta kabisa sababu ndo uhalisia wangu
Nikimzimia mtu kweli huwa namwibukia PM tu na tutamalizana huko
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Kwa status yako as presida wa kf ukianza kutongoza hadharani ni kujishusha hadhi, sisi ni raia hatuna cha kupoteza, acha tuoane, wewe tongoza wake zetu pm, wakikupa ni juu yao.Nipo
Sinaga hizo bembeleza
Hata hapa KF huwezi nikuta kabisa sababu ndo uhalisia wangu
Nikimzimia mtu kweli huwa namwibukia PM tu na tutamalizana huko
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
........
