Makapuku Forum

Makapuku Forum

Good to see you, aunt yangu wa ukweli

AA7Dz61.gif
Kwahiyo binamu nyau ananikiss au ananibwekea binamu nilikumiss kiukweli vituko vyako ebu niwekee nyimbo niliyochagua
 
Binamuuuuu nimeshachagua mwenyewe heshima yako kwanza nilikumiss pia jamaan mama mchuchu anakusalimia sana


Nimeona uchaguzi wako, dah umenikumbusha mbali sana maana enzi hizo jamaa rapa anavuta bange tu hajaanza kutumia ngada. Nimeupata huo wimbo lakini una dakika 11, maana naona waliurekodi kwenye VHS kwanza. Nikikosa version nzuri natuma hivyo hivyo, maana wewe unaupenda
 
9/Hazel Jones
d8b33b5dda7df285bc613bea06273108.jpg
2f24682c0af169ea6426dd0363eb50f4.jpg

Demu Huyu alizaliwa na uke pea mbili
Huyu alisumbuliwa ugonjwa wa kushangaza wakati anakaribia kuvunja ungo na akajikuta anapata hedhi mfululizo kama mvua za masika
Anatokea huko High Wycombe nchini Uingereza
Tatizo lake linajulikana kama Uterus Didelphys yaani pia ana vyumba viwili vya uzazi
Alipoambiwa na dokta kwamba ana uke na vyumba vya uzazi pea mbili akamjibu abajisikia fahari japo unahitaji mtu antoe bikra kote kote......mi simo nasema simo !!
........
 
Nimeona uchaguzi wako, dah umenikumbusha mbali sana maana enzi hizo jamaa rapa anavuta bange tu hajaanza kutumia ngada. Nimeupata huo wimbo lakini una dakika 11, maana naona waliurekodi kwenye VHS kwanza. Nikikosa version nzuri natuma hivyo hivyo, maana wewe unaupenda
Sawa binamu ukikosa tuma hivyo hivyo kuna kipindi aliacha kabisa ngada na kwenda uk kuishi sijui kama alirudi jamaa anajua sana kurap
 
Binamu hunishindi mie jamaan nilimiss vituko vyako binamu nimefurahi pia binamu kuonana na wewe tena

Ahahhaha umenichekesha eti huwezi kuwasemea wengine halaf binamu we mchoyo ujue unaonekana

Tumosa kaniambia unajifunza kuweka maua binamu


kwa kweli aunt nadhani kuna mtu anairoga simu yangu au ananiroga mimi binafsi. Nimeweka maua na nikaweka tangazo humu kuwa natest maua, lakini ajabu hayajaonekana, na hata nikiangalia tena hayaonekani.

Hivi unadhani hii ni kawaida?

Aliyenipa simu anajua alichofanya
 
6/Deepak Pastwan
999388084cef572f59b858d892708183.jpg
c06b03585eb6ca6f7b471ecdda264a59.jpg

Huyu ni dogo kutoka familia maskini huko nchini India
Alizaliwa mwaka 2010 akiwa na miguu ya ziada "iliyoota" kifuani
Dogo alizaliwa akiwa na miguu 8 yaani dogo kifuani ana miguu kama matawi ya miti
Wazazi wake hawakuifurahia hali hiyo hivyo kuomba iondolewe
Hospitali ikawaonea huruma kutokana na umaskini uliowakithiri hivyo kumfanyia upasuaji bure na ukafanikiwa kuiondoa
........
Mmmh
 
3/Doubledick Dude
6b9410e6e9de2ea6cca1f6537ed24e6c.jpg
a48716283b7ecc8173571154aab735e2.jpg

Jamaa alizaliwa na uume miwili na kuamua kujiita Doubledick Dude na kupata umaarufu mkubwa na furushi la followers kwenye mitandao ya kijamii
Sio tu kwamba anazo mbili bali pia zote zinapiga mzigo wa maana hivyo anaweza kuzitumia zote kwa pamoja demu ukizubaa shauri yako anatumbukiza mbili !!!
Kila mzigo wake ukichachamaa unafika inchi 7
Hali hii inajulikana kama Diphallia na dunia nzima kuna case takribani 100
......
Hii weka mbali na watoto
 
kwa kweli aunt nadhani kuna mtu anairoga simu yangu au ananiroga mimi binafsi. Nimeweka maua na nikaweka tangazo humu kuwa natest maua, lakini ajabu hayajaonekana, na hata nikiangalia tena hayaonekani.

Hivi unadhani hii ni kawaida?

Aliyenipa simu anajua alichofanya
binamu sitaki uchochezi mie ujue we na mjomba ako mtajuana wenyewe ndugu nyie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom