Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hi Kapuku hotel mpishi hatendi haki kabisa anko, hivi ni lazima kila mchana tupikiwe ugali?

Wengine ni watu wa wali kwenda mbele, asubuhi tunaanza na vitumbua, mchana biriani , jioni walinazi. Kabla hakujakucha tunagonga kiporo
Punguza wali Obe

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
James Rodriguez, 26, anataka hatma yake ifahamike mara moja, huku Real Madrid wakitaka pauni milioni 62. Manchester United na timu kadhaa Ulaya zimeambiwa zinaweza kupanda dau (Mail).
 
Tottenham watakuwa na mazungumzo na Estudiantes wiki hii kuhusiana na usajili wa beki Juan Foyth, 19 (London Evening Standard).
 
helsea wanataka kumsajili mshambuliaji wa Borussia Dortmund Pierre Emerick-Aubameyang, 28, baada ya kumkosa Romelu Lukaku na wapo tayari kulipa euro milioni 70 (Marca
 
Liverpool bado wanavutana na mshambuliaji wa Atletico Madrid Angel Correa ambaye ada yake ya uhamisho ya pauni milioni 25 imekubaliwa lakini mchezaji huyu anataka mshahara mkubwa kuliko Liverpool wanaotaka kutoa (Foot Mercato).
 
Atletico Madrid wamekubaliana mkataba wa euro milioni 45 na Monaco wa kumsajili Fabinho ambaye amehusishwa na Manchester United, PSG na Manchester City, lakini huenda akajiunga na Atletico baada ya adhabu yao kumalizika (AS).
 
Everton wanafikiria kumchukua mshambuliaji wa Crystal Palace Christian Benteke kuziba nafasi ya Romelu Lukaku. Everton pia wanamtaka Olivier Giroud au Edin Dzeko (Daily Mail).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom