Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Karibu mkuuHivi huku nako kuna utambulisho? nimejigundua mi mgeni humu
Karibu mkuuHivi huku nako kuna utambulisho? nimejigundua mi mgeni humu
Ni kweli na nadra sana kumkuta mtu kuwa na DNA ya haina hii ila japo hii ni evidence tosha kuwa mutation inatokea na ikitokea kuna impacts kubwa kama hizo ...ila hii wataalamu wanaiterm kama advanced mutations. ..7/Alfie Clamp
Karibia kila aliyesoma Biology japo Form Two anaelewa maana ya DNA![]()
Huyu dogo alizaliwa mwaka 2010 akiwa na Extra strand DNA tuseme ana DNA zaidi ya pea mbili
Alizaliwa akiwa kipofu(mlemavu wa macho), pia Alikuwa na ulemavu mwingine kibao hivyo kuwalazimu Madaktari wamfanyie uchunguzi uliopitiliza
Mwisho wa siku wakambamba dogo ana DNA ya kushangaza ambayo haipatikani popote pale duniani (angalia picha)
Hayo ndo maajabu ya dogo Alfie
......
Umusaza wanjeKaribu bibie..mm ndio Mpokea wageni humu kama umeridhia kujiunga humu sema tukupe mwongozo..
-Mond-
Bora umejiwahiiiHi hotel bhana , anko wangu lee empire alimuajiri mpishi mkuu anaitwa dada Wema , oh, ngoja nisiendelee maana mjomba wangu atanipa laana
Nayapitiaaa asante mdauNipo na 10 kubwa now
Imekaa kibaiolojia zaidi
Ila tunasema Maajabu ya muumba kiimani
..........
Atakuja tu muda mwafaka ukifikaShunie hajaja tuu jamani.... Mbona mchana umeniambia waja mdogo wangu.... Nakumiss ujue
AtakujaaaShunie hajaja tuu jamani.... Mbona mchana umeniambia waja mdogo wangu.... Nakumiss ujue
Ahsante mtaalamu wetu kwa nyongeza short & clearNi kweli na nadra sana kumkuta mtu kuwa na DNA ya haina hii ila japo hii ni evidence tosha kuwa mutation inatokea na ikitokea kuna impacts kubwa kama hizo ...ila hii wataalamu wanaiterm kama advanced mutations. ..
Kiukweli binadamu wa kawaida huwa na DNA ambayo ni double strand ...na tunajua DNA ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu. ..na ndo hii DNA inayozalisha RNA ambayo ni single strand ....hapa usije sema RNA inaweza kuwa na double strand ....haiweziiii
Zile base sugar zinazopair kutengeneza double strand ikitokea katika hali ambayo siyo ta kawaida mfano Hoogsteenn Base sugar ukipenda H ikabind na sugar base tulizozizoeaa ...mfano natumia herufi kidogo na nisiwachoshe ...T lazima ikutane na C ...ikitokea kamailivotokea kwa dogo H ikajipendekeza na mechanism ikakubar bhasi H*DNA tunaipata ambayo ni triple strand. ..
Asante mdau
NdioooAtakujaaa
Mdau tunakumbushana na kuelimishana na hapa kila mtu mtaalam tuelimishane...Ahsante mtaalamu wetu kwa nyongeza short & clear
Mi binafsi nimekuelewa
........
Ninayoandika hapa ni ambayo napendakuhifunza/kujisomea mtandaoniMdau bitoz umenikosha leo
Alinambia atakuja leo jamani...Atakuja tu muda mwafaka ukifika
Yule ni mtu wetu hanaga makuu na mtu kama wewe sijawahi kukuona sehemu ukizunguana na mtu humu Jf
.......
WoyoooooNimewamiss munoooooo
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Ndo hivyo binadamu tunategemeanaMdau tunakumbushana na kuelimishana na hapa kila mtu mtaalam tuelimishane...
Ahahhahah wimbo gani sasa dada umenichagulia me nataka nichague mwenyeweShunie anaomba wimbo wa ukaribisho
Mambo Obe