Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Shedede ...cc ?![]()
.....
Asante sana kwa kumi bora![]()
Cc Husna
![]()
![]()
![]()
.
.
.
.
Tukutane kesho
.............
Mama mchuchu nakusalimiaaAsante sana kwa kumi bora
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu ...1/Wal--Mart Stores Inc![]()
![]()
![]()
Wamiliki ni Wamarekani
Ndiyo kampuni iliyoajiri watu wengi zaidi duniani.......Kwa Marekani imeiacha mbali McDonalds Kwa wingi wa wafanyakazi au pengine na kimapato
Inajihusisha zaidi na uuzaji wa bidhaa za rejareja(retail trade}
Hawa jamaa ndio wamiliki wa Walmart,Sam's Club na biashara kibao
Kwa mwaka huingiza takribani USD 480 Bilioni
Imeajiri zaidi ya watu 2,200,000
.
.
.
.
.
Shukrani Kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Safari ya wapi hii
Nimeskip page ....
Salaam kwa wote natambua uwepo wa kapuku wote
Mpe nafasi hyo Q aunt yngu,kaimba mashairi mpaka koo limemkaukaHivi mapenzi huwa yana kipindi cha matazaminio (under probation)
Ngoja niombe mwongozo kwanza kutoka kwa wazoefu
Cc Sakayo
shululu
Tumosa
Transcend
Mchungaji mama BlessedHope
Na kapo zinginezo
Ni #10 au # 9Kapewa namba ngapiiii![]()
![]()
![]()
Maji tu yanatosha
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
me nmekuchagulia mirinda nyeusiKweli Husna jana hakuwa na jeuri hyo
SwalamaaMmeshindaje ndugu zangu
Jamani sijapotea sanaaMwanampotevu karibu, tupo salama kabisa, za kwako
Mlienda lini USA?Nothing much man, what's up with you?
Asante uwe na ucku mwema ndguPamoja wadau
Leo najilalia mapema
Nimechoka na kesho nina kaishu
Niwatakie Usiku mwema
.........
Mmmh!cc ?![]()
.....
Karibu mpaka ndaniHodiiiiiiiiii
Nimeskip page ....
Salaam kwa wote natambua uwepo wa kapuku wote
