Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
HahahaAcha tu mwenyewe pia naambiwa sipatikaniki huku simu ipo on week ijayo narudisha halotel uvivu wangu tu wa kwenda kkoo
HahahaAcha tu mwenyewe pia naambiwa sipatikaniki huku simu ipo on week ijayo narudisha halotel uvivu wangu tu wa kwenda kkoo
AiseeDada mi sijambo kabisa ila nilikuwa huko kwenu tanga nimejifunza vitu vingi sana
Na kushangaa kwakoNini tena shemela
Kweli ...kama hatupigwi tano sijuiHahaha
Shemela tumefiwa na mtunzi wa stori ya nitakupata tu anaitwa Ibra Masimba mpe taarifa mke mweee
Tayari 4Kweli ...kama hatupigwi tano sijui
Ameni dada nashukuru mungu yamepungua kidogoKaribu kaka,pole na majukumu naamini BWANA anakushindia yote
Unaumwa nn Sakayo wa T,poleeeShunie uko wapiii mamy.... Dadako naumwa ujue
Ahahhahah narudisha halotel dada week inayokuja si unajua ule mtandao hausumbui tigo watasababisha tuachike

Zipo dawa za kupulizia..inhalers za kuzuia na kupulizia ukibanwa ,ni nzuri sana zinatumika kwa urahisi ,unatembea nazo tu kwenye pochi popote ulipo,hali ikizidi unaenda hospitali lakini ukifuatilia ukweli huhangaiki...ni Asthalin inhaler na Budecort inhaler100 ,pia kuna vidonge unameza kimoja kila usiku kuzuia kubanwa...ni msaada mkubwa..ila ni muhimu kumuona daktari kwanza...kama uko dar niko tayari kukupeleka ...ni muhimu sana ,utakuwa na amani ...Hii ya kupulizia ndio naiskia Leo mamii
Unapuliziaje?!
Pole mumieAsante
Aisee, kibuduZambia 3
Tanzania 1
Hawawezi kuloweka nguo maana muda mwingi nilikuwa bize ila nimeona tanga kuna fursa nyingi sana ambazo kwangu naona zinaweza kututoa kimaishaJaman sakayo unamsikia kaka alikua kwetu ebu tupe story kaka umejifunza nini kikubwa hawajakung'ang'ania na kukulowekea nguo ili usirudi
Asante dadaKaribu sana kaka angu
Unapulizia mdomoni unavuta hewa inasaidia kuweka mapafu vizuri na hewa ipite as kwa sasa hali ya hewa hii watu wa pumu wanahangaika sanaHii ya kupulizia ndio naiskia Leo mamii
Unapuliziaje?!
Pole sana..ni msiba wetu sote
Kujipodoa huku una athimaNini sasaaa
Nasubiri jibu la shemejiJaman sakayo unamsikia kaka alikua kwetu ebu tupe story kaka umejifunza nini kikubwa hawajakung'ang'ania na kukulowekea nguo ili usirudi
4G ya magumashi, hii mitandao kwa uongo ni hatari sanaKabisaa yaaani... Mie nina line ya Tigo tena 4g lakini kila ikipigwa hapatikani kabisaa...