Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Njema ila kwa sasa niko jumbo la mbeneMzima kabisa shemeji, za Sugu city
Njema ila kwa sasa niko jumbo la mbeneMzima kabisa shemeji, za Sugu city
Mungu saidia icwe kweli,nlivoona bandiko lile roho imenuima nmekosa raha kwa kweliNdio huyo huyoo ila inaweza kuwa uzushi banaa ci unajua mitandao hii
AiseeAhahhaha kama mimi jamaan siku nikiamua kujipodoa acha tu
Ahhaah ebu niwekee beer pepo la fanta limetoka
Pole sana,fuatilia kwa karibu na wakwambie vitu vya kufanya hasa vyakula,mazoezi,punguza mawazoHata sijui mie... Hii ni mara ya pili kuambiwa hivyo
AkuuuuAcha dada kioo hakidanganyi ujue halaf ukiwa podo podoa
Salama shikamooHabari za jioni wapendwa..
Mimi sipendi mwanamke anayejipodoaAhahhaha kama mimi jamaan siku nikiamua kujipodoa acha tu
Kijana upoooo?Habari za jioni wapendwa..
Nini sasaaaThubutu
Wapi ShunieNimepita wamepost jeneza wakati anasafirishwa jamaan ibra siwezi ongea duniani tunapita tusameheane jamaan
Jaman sakayo unamsikia kaka alikua kwetu ebu tupe story kaka umejifunza nini kikubwa hawajakung'ang'ania na kukulowekea nguo ili usirudiDada mi sijambo kabisa ila nilikuwa huko kwenu tanga nimejifunza vitu vingi sana
Karibu sana kaka anguNipo hapa dada nimekuja rasmi jikwaani
Majina plzBaba watoto![]()
![]()
![]()
![]()
Apumzike kwa amaniPia ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwashirikisha kuhusu uzi huu wengine ni EMYDUY,Sissya, baadhi majina nimewasahau
Japo waanzilishi wakuu ni Bailly,Jimena na mimi.....maana hata kabla ya wao kuja chemba sisi wa3 tulikuwa tayari ni marafiki wa JF na tulishaelewana kuanzisha kijiwe ila tukashirikisha na mawazo ya wengine baada ya izi kuanza
Duh ukiziangalia post zake kule mwanzoni utaelewa
.......
Dada acha tuMama tena
Kabisaa yaaani... Mie nina line ya Tigo tena 4g lakini kila ikipigwa hapatikani kabisaa...Ahahhahah narudisha halotel dada week inayokuja si unajua ule mtandao hausumbui tigo watasababisha tuachike
EntertainmentWapiii hukooo