Makapuku Forum

Makapuku Forum

Pole mnoo jamani.. Ko humpata yeyote au huwa mtu anazaliwa nayo
Japokuwa hata mazingira yanachangia hii hali lakini kiukweli ni ugonjwa wa kurithi maana yake its Genetic Disorder....husna amezungumzia namna ya kujikinga vizuri inshort unatakiwa uishi kwenye mazingira ambayo yanaruhusu uwepo wa hewa safii nikimanisha zoezi zima la upumuaji liende vizuri...hewa nzito (chafu) kwa mgonjwa ni shida kwelii....ebu angalia hii picha kwa umakini

..
b650d7ef8adcdbc0d81f5040acd99168.jpg
 
Pole mnoo jamani.. Ko humpata yeyote au huwa mtu anazaliwa nayo
Kuna ya kurithi
Kuna ya kuipata tu kwenye ukoo wenu hamna mwenye nayo lakini we unapata
Kuna wengine wanazaliwa nayo wanakua na wanazeeka nayo



Ila ikikubana ni mtihani mkubwa saaana njia ya hewa inakuwa ndogo kila ukijitahidi kuhema unashindwa

Kwa kweli mungu atusaidie sana
 
Japokuwa hata mazingira yanachangia hii hali lakini kiukweli ni ugonjwa wa kurithi maana yake its Genetic Disorder....husna amezungumzia namna ya kujikinga vizuri inshort unatakiwa uishi kwenye mazingira ambayo yanaruhusu uwepo wa hewa safii nikimanisha zoezi zima la upumuaji liende vizuri...hewa nzito (chafu) kwa mgonjwa ni shida kwelii....ebu angalia hii picha kwa umakini

..
b650d7ef8adcdbc0d81f5040acd99168.jpg
Yeah ni hivyo hivyo uko sawa Mr Lee

Inapobana mpaka ukihema kuna mlio km kafilimbi unatokea kifuani
Utaskia"swiiii....swiiiii....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom