Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lakini kuna karatasi pale ilionekana ya hosp kigamboni...ilionesha dalili za Cardiac...akaandikiwa apime ECG,ECho,na vidonda vya tumbo kigamboni vipimo hv hakuna sasa sijui alipima,na ni kweli dalili hz hufanana na pumu...mimi mwenyewe nina mwezi hv nilipata mild attach wakadhani ni cardiac..ambayo ni moyo ,nikapima vipimo hivyohivyo..namshukuru Mungu kuna dawa nilipewa..unabanwa kabisa....kichomi kikali kushoto..kupumua huwezi..niliwekewa nebulizer...wapi..then oxygen..ila Mungu mwema naendelea vizuri ukipata attach hz lazma upate huduma haraka...
Mungu akutunze mamy
 
Alikuwa anapost hadithi kule entertainment sasa hapa akasema anaumwa kifua kinabana anashindwa kupumua vizuri mi nikamwambia kwamba labda itakuwa pumu
Lakini kuna mmoja akanambia kuwa nisifanye mchezo na afya za watu ikabidi ninyamaze

Basi nikazungukia ule uziii kila siku sasa nimeingia ndio nakutana na hizo habari kuwa ibrahim kashatuacha

Kuna jamaa anasema alimpigia simu akamwambia amegundulika ana pumu akapanga kesho yake akamuone sasa ile kesho ilipofika akampigia simu ibra ikapokelewa na mdogo wake ndo akamwambia kwamba mwenye simu kafariki
So sad
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom