Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mungu saidia icwe kweli,nlivoona bandiko lile roho imenuima nmekosa raha kwa kweli
Pale kuna bandiko limeniumiza sana ...alikua anayaona mauti,amesema kuhusu watoto,wazazi,mtarajiwa....kwa uchungu..alikata tamaa kabisa,sijui aliona nini ni vigumu kutafsiri kuna mtu ametoa facebook kaweka pale,nimelia sana wanadamu ni mavumbi
 
Ahhaah ebu niwekee beer pepo la fanta limetoka
8c0f15cc99d3f387ed74c90ddd9167c2.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom