BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Mara nyingi ni aleji ,ni muhimu kupima aleji na kujizuia vitu vyote vinvyo trigger pumu,vyakula,vumbi,manukato ila ukipima unajua exactly ni chakula gani..usipojua unaondoka maana utaendelea kula vitu vilevile vinavyokugandamizaDaa hii pumu hii daa aisee

