shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Dah mpaka carzolaKiungo wa Arsenal Santi Carzola, 32, ambaye hajacheza tangu Oktoba 2016, huenda akakosa msimu ujao wote wa 2017/18 kutokana na kuwa majeruhi bado (Daily Express).
Dah mpaka carzolaKiungo wa Arsenal Santi Carzola, 32, ambaye hajacheza tangu Oktoba 2016, huenda akakosa msimu ujao wote wa 2017/18 kutokana na kuwa majeruhi bado (Daily Express).
Ukiwa mpenzi wa asali inaponaDaaaah
Pole saaana, kwa hiyo inapona au inapungua tu
Pia haipendi manukatoDaaaah
Pole saaana, kwa hiyo inapona au inapungua tu
Atakuja tuShunie uko wapiii mamy.... Dadako naumwa ujue
Wahaya wana dawa ya kienyeji inatibu kabisaKwamba haina tiba kabisaa...
Pole mnoo my dear
Sorry na pole sana ....kiujumla hii hali ni Genetic Disorder au kwa kifupi ni ya kurithi ....ata kama kwenye familia inatokea mmoja anakuwa nayo wengine hawana ni jambo la kawaida na ni kurithi ...yawezekana mzazi mmoja akawa na gens za hii hali ila kwake haikumtokea kimuonekano ...na huyo mzazi milele huwezi kuhisi kama ana pumu ila mambo ya Rhesus factor hasa kwa mtoto mmojawapo ndo inatokea hii hali inajiexpress ....Kuna ya kurithi
Kuna ya kuipata tu kwenye ukoo wenu hamna mwenye nayo lakini we unapata
Kuna wengine wanazaliwa nayo wanakua na wanazeeka nayo
Ila ikikubana ni mtihani mkubwa saaana njia ya hewa inakuwa ndogo kila ukijitahidi kuhema unashindwa
Kwa kweli mungu atusaidie sana
Niyakuzaliwa nayoPole mnoo jamani.. Ko humpata yeyote au huwa mtu anazaliwa nayo
Ni asali iliyochanganya tangawizi ila haiponyeshi bali inaondoa daliliUkiwa mpenzi wa asali inapona
Mpaka sasa huwa inakusumbua?Asante
Mi sijazaliwa nayo mbonaNiyakuzaliwa nayo
Wazza asepe tuNahodha wa Manchester United Wayne Rooney, 31, ameondolewa kwenye kikosi kitakachosafiri kwenda Marekani, na atakamilisha uhamisho wake wa bila malipo kurejea Everton mwishoni mwa wiki. Everton pia wanataka kumsajili Olivier Giroud, 20, kutoka Arsenal kwa pauni milioni 20 (Sun).
![]()
Utakuwa umezaliwa nayoMi sijazaliwa nayo mbona
Imenipata ukubwani tu nikiwa nishaolewa na kuzaa
Ngoja niwahi hii mechiWazza asepe tu
Halafu saa 12 ni
Tz v Zambia
......
Endapo nikifanya kazi ngumu au hata vumbi kalii likinipitia inakuja sema kwakuwa nishajua vitulizo so huwa navitumiatumia sana hasa tangawizi huwa nasaga nachemsha nakunywa huwa hainibani saaana km vile ilivyokiwa inaanzaMpaka sasa huwa inakusumbua?
Mungu awatie nguvu kwakweli ...Pumzika kwa Amani IBRAKifo kinauma jamani... Mungu awatie nguvu wafiwa maana nahisi bado alikuwa kijana mdogo
Kuna kapuku wa mwanzo mwanzo kavutaMmh..
Bitoz kuna nini?
Ndiooo ni kweli kabisaa yaani ukijipulizia pafyumu utajibeba nakwambiaPia haipendi manukato
Shalom mkuu SHIMBA YA BUYENZE...UBARIKIWE SANAHapana Shemeji. Umechanganya. Mimi nilikuwa namwongelea Arthur Ashe - mcheza tennis mweusi wa Marekani. Nilikuwa najibu comment ya Mama Mchungaji. Ibra hata hapa JF nilikuwa simfahamu! Pole sana kw msiba huo kwani naona umekugusa sana!
Hizo habari naskia mitandaoni tu bado sijapata uhakikaWahaya wana dawa ya kienyeji inatibu kabisa