Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Bora nyinyi mtabaki hivyoAhahahh na sie team natural je![]()
Bora nyinyi mtabaki hivyoAhahahh na sie team natural je![]()
NipogoooooNimekuona shemela wa mimi

Karibu shemeji, hapa tupoWakuu habari zenu habari za kupambana na maisha
Nimewamis sana
Leo nimekuja niwasalimu
Kuhusu Mama ujueAiseeeeh ...
Mzima kabisa shemeji, za Sugu cityShemeji mzima
Asante mamy... Naamini hivyo piaPole mummy,Mungu atakuponya
AsantePole dada jamaan
Kama nakuonaaaAhahahh na sie team natural je![]()
UmeonaeeAhahhaha kama mimi jamaan siku nikiamua kujipodoa acha tu
PlzKuhusu Mama ujue
Shunie ,tumosa mko wapiii eti wanasema IBRA kafa jamani uwiiiiiii..........hadi naogopa wallahi mungu wanguuuu weeee
nmepita kule nmeona bandiko ila siamini na naogopa kurudi kuangalia tena
Kitu kipili pili kichwanii mshkaji wanguBora nyinyi mtabaki hivyo
Pole....Mungu akutie nguvuUwiiiii we husnaibra juzi katuonyesha cheti kifua kimembana jamaan sitaki kuamini ibra
![]()
Mungu wangu
Jamaan kama kuna niliyemkosea tusameheane maisha mafupi sana leo tunacheka kesho hatupo kama umenikosea nimekusamehe ibra sitaki kuamini
Kabisaa yaaani.. Sema wewe sasa unapotea hewani, nahisi utakuta na tanga limeishaUmenichekesha tu eti taarifa zangu ataleta shunii au T
Ila dada presha nawaza tu apa imetokea wapi lakiniAsante mamy... Naamini hivyo pia
AiseeWana dawa nyingi sana dada
Asante dada anguAsante
Pole na wewe

Nipogooooo![]()