Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kiukweli kifo chake kimenigusa na kwa kutambua mchango wake kwenye thread hii leo hakutakuwa na segment ninazopost wadau maana hata akili hazijatulia
Kila nafsi itaonja mauti
..........
 
TETESI ZA USAJILI. ..

Alexandre Lacazette amekamilisha vipimo vya afya Emirates na mkataba wake wa miaka mitano wa pauni milioni 52 unatazamiwa kuthibitishwa baadaye leo (BBC, Sky).



46d00d122c15af6883a257ce509faf8a.jpg
 
Nahodha wa Manchester United Wayne Rooney, 31, ameondolewa kwenye kikosi kitakachosafiri kwenda Marekani, na atakamilisha uhamisho wake wa bila malipo kurejea Everton mwishoni mwa wiki. Everton pia wanataka kumsajili Olivier Giroud, 20, kutoka Arsenal kwa pauni milioni 20 (Sun).

e97e31c8bff9ea5924b046fe084e3061.jpg
 
Manchester United watafanya jaribio la mwisho kutaka kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid Alvaro Morata, 24, wiki hii, huku Real wakigoma kushusha bei ya pauni milioni 72 (Independent)
e6e13762274e68aa23f3d08744b60549.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom