Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
DuuuhNi kweli amefariki
Kuna mtu anamfahamu kathibitisha
R.I.P
....
DuuuhNi kweli amefariki
Kuna mtu anamfahamu kathibitisha
R.I.P
....
Ndo nimeuliza kwebye uzi wake ni Kisiwani ipi sijajibiwa ila nitamtafuata chemba mtu aliyekuwa anafahamiana nae kwa ukaribuHata mwananyamala kuna kisiwani pia
Halafu utoe mrejeshoNdo nimeuliza kwebye uzi wake ni Kisiwani ipi sijajibiwa ila nitamtafuata chemba mtu aliyekuwa anafahamiana nae kwa ukaribu
.....
OoohNaskia zipo za kienyeji eti
Hahaha*GHAFLA TU SERIKALI INAPIGA MARUFUKU MAWIGI NA MEKAUP, HAKI YA MUNGU WATOTO WATASAHAU MAMA ZAO.......
nawaza tu jamani @
Wewe hutumii hayo eehHahaha
Mie simoo
KabisaaWewe hutumii hayo eeh
Pole mdauuKiukweli kifo chake kimenigusa na kwa kutambua mchango wake kwenye thread hii leo hakutakuwa na segment ninazopost wadau maana hata akili hazijatulia
Kila nafsi itaonja mauti
..........
Ndiooo![]()
![]()
![]()
kumbe
Ndio ninazotumia mieOooh
Muda si mrefu watapiga marufuku*GHAFLA TU SERIKALI INAPIGA MARUFUKU MAWIGI NA MEKAUP, HAKI YA MUNGU WATOTO WATASAHAU MAMA ZAO.......
nawaza tu jamani @
Wasalimie kisiwaniHata mwananyamala kuna kisiwani pia