Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mojawapo Urusi
2cf03c39a336455dfb22e41839b40e14.gif
 
Naendelea vzr kiasi niko ila roho haina amani I don't know why
Ila Mungu atanisimamia
Simama Imara katika maombi,utashinda mpendwa Mungu anakupenda sana,mimi nakupenda sana,MAKAPUKU wanakupenda sana stop worrying..GOD is controling everything...I LOVE YOU MUMMY,PRAYING FOR YOU.

YEREMIA 29

11.Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi,asema BWANA,ni mawazo ya amani wala si mabaya , kuwapa tumaini siku zenu za mwisho

12.Nanyi mtaniita ,mtakwenda na kuniomba,nami nitawasikiliza

13.Nanyi mtanitafuta na kuniona,mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

14.Nami nitaonekana kwenu,asema BWANA.
HIYO NI AHADI YA MUNGU KWETU...OMBA ATASIKILIZA NA KUKUPA AMANI ,HAKIKA HATAKUACHA PEKE YAKO.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu ...kitendo cha North Korea kurusha jana ICBM jana nimejikuta najiuliza maswali mengi kama hamtojali sio mbaya tukashare make nilimejitahidi kufukunyua source mbalimbali kuhusu hili jeshi la bwana mapankii ...weka kando stori za sani na kiu ...

Inaaminika kuwa hii nchi ina wanajeshi wengi tena jeshi lake lokiwa miongoni mwa majeshi yaliyo active dunianii ..
31ac54dcbaaefd5717b2735275048d24.jpg


Korea kaskazini inaaminika kumiliki zaidi ya silaha 1000 zenye uwezo tofauti ikiwemo kombora la maasafa marefu ambalo linaweza kuishambulia Marekani.

Mpango wa Pyongyang umeendelea katika miongo kadhaa ya hivi karibuni kutoka mizinga mikubwa katika miaka ya tisini na sabini hadi makombora ya masafa mafupi mbali na yale ya masafa marefu katika miaka 80 na 90.

Hivi karibuni, Korea Kaskazini ilitangaza kwamba inaunda makombora ya masafa marefu yanayoweza kurushwa kutoka bara moja hadi jingine ambayo yanaweza kushambulia mataifa ya magharibi....jana wakarusha ICBM sio jambo la kitoto

Taifa la Korea Kaskazini linaaminika kutengeza kombora la masafa marefu zaidi ambalo wachunguzi wamelitaja kuwa KN-08 ama Hwasong mpaka 10-13....hivi vifaa sio vya mchezo kwenye masuala ya kijeshi mfano tu Hwasong 10 lililojaribiwa june 22 2016 ni kitu hatari sana...hii ni Ballistic missile yenye urefu mpaka 12m ... lakini sasa washafikia mpka H13 ...
00a812ec553aeabb9205044c30faeb9a.jpg


686faa71916f4cc145fd07ee64f9ad42.jpg


640b63cc988a4c7329377f365f1c8bc6.jpg


Inasadikika robo tatu ya bajeti inahudumia jeshii yaani ata kama kuna majanga kiasi gani jeshi lazima lihudumiwe haswa ...

Songum ambayo ndo sera yao kuu jeshi ndo namba moja kwao ..ata bajeti inaenda takribani 15.8% mpaka 38%...
kama huku kwetu Tanzania vijana wengi wanapita jkt kujifunza uzalendo na wao hii system wanayo na 1.5m -6 watu wanakuwa trained na wapo tayari kuingia front kikinukaa ...
62ed070d88e3e4f2611d3f36fe78cfc7.jpg


Inasadikika kila mwanaume korea ni mwanajeshi kule make wanapitia mafunzo ya kijeshi kwa kijikimu ..jambo jemaaa hata kama kuna wachunga mbuzi kama Bitoz lakini mguse huoneeee dadeeekiiii....

Hawa jamaa wako vizuri haswa hata zile Banned lasers ambazo kufikia miaka ya 2010 zilikuwa zinapingwa lakini jamaa wamekomaa nazo ...
1e54f4937c989dd794d8e5ae7e1b56f4.jpg


Achilia mbali hilo hata Multiple Cyber Warfare wako vizurii ...wana uwezo wa kuhack kumbuka walichomfanyia sony 2014...
d9178b7adcf17c838878f2f42f369ec6.jpg


Sio vidume tuu hata wanawake wako vizuri ...kazi kaziii hawarembiii make kwetu inajulikana wanawake wanaoingia jeshini tunawachukulia kama watu wa ajabu ila kwao kawaida tuu....yeeeeeeaaaaaaaah chekiii sura za kaziiiii
618217c4a0827ebe746f87a4987ff912.jpg


....ukiachilia mbalii hivyo vyote ata chemica weapons wapo ...matumizi ya Chlorine , phosgene na zile mustard gas hawapo nyumaaa ...
33083cf1f857aeafd98fedfdbebcd52b.jpg


Vijana wadogo wadogo nao wanapata mafunzo
30a34b5c269137ef0b181d31012667bc.jpg


Twende wotee... Idara ya ulinzi nchini Marekani Pentagon inaamini kwamba Korea Kaskazini inamiliki makombora 6 aina ya KN-08, ambalo lina uwezo wa kufika hadi Marekani. Korea kaskazini inaaminika kutengeza toleo jipya la kombora hilo linalojulikana kama K14

Mnamo mwezi Januari 2017, kulikuwa na ishara ya jaribio, muda mfupi baada ya kiongozi Kim Jong un kudai kwamba taifa hilo lilikuwa katika awamu ya mwisho ya kutengeza kombora la masafa marefu linaloweza kurushwa kutoka bara moja hadi jingine.

Mpango wa kisasa wa kutengeza makombora yaa Korea Kasakzini ulianza kwa kutengeza makombora ya scud ambapo yalipitia Misri mwaka 1976. Kufikia 1984, taifa hilo lilikuwa likitengeza makombora yake kwa jina Hwasong.

Inaaminika kuwa na makombora tofauti tofauti ya masafa mafupi ambayo yanaweza kulenga taifa jirani la Korea Kusini .Uhusiano kati ya mataifa hayo mawili ya Korea umeharibika na yamekuwa yakijiandaa kukabiliana kivita.

Kombora la Hwasong 5 na Hwasong 6 ambayo pia hujulikana kama Scud B na Scud C yana uwezo wa kwenda kilomita 300 na 500 mtawalia kulingana na kituo cha Marekani kinachofanya utafiti wa kuzuia kuenea kwa nuklia.Makombora hayo yanaweza kubeba makombora ya kemikali na nyuklia....picha chini ni scud b na scud c
eb1bc5e7ec84a618c69acd9822130bb0.jpg


Scud c
2d54ec0952a9ba33eee597b71f551564.jpg


....missile zao zipo katika hii range
8f68c325fe62d43a535e319b26d1821c.jpg


6a3a7b75de79099cddf66c0ffcd62e0d.jpg



Shukrani wadau
Hapa itabidi trump achemshe bongo kabla hajapagawa maana huyu mapanki anaonekana si Wa kisportsporti atii
 
Simama Imara katika maombi,utashinda mpendwa Mungu anakupenda sana,mimi nakupenda sana,MAKAPUKU wanakupenda sana stop worrying..GOD is controling everything...I LOVE YOU MUMMY,PRAYING FOR YOU.

YEREMIA 29

11.Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi,asema BWANA,ni mawazo ya amani wala si mabaya , kuwapa tumaini siku zenu za mwisho

12.Nanyi mtaniita ,mtakwenda na kuniomba,nami nitawasikiliza

13.Nanyi mtanitafuta na kuniona,mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

14.Nami nitaonekana kwenu,asema BWANA.
HIYO NI AHADI YA MUNGU KWETU...OMBA ATASIKILIZA NA KUKUPA AMANI ,HAKIKA HATAKUACHA PEKE YAKO.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Tanx so much hny
Amen
Nawapenda pia
 
Kafa mdogo sanaa
Maisha ni jinsi ulivyoigusa mioyo ya watu sio miaka uliyoishi
Au tuseme Mali/mchango wako kwa familia/ndugu/jamaa/marafiki

Hata Jf mtu huwezi kujivunia eti ulikuwepo wakati ikianzishwa 2006 wakati hadi leo haujafanya au haina mchango wowote jamvini

Mi best friend wangu alifariki akiwa na miaka 20 tu ila bado anaishi moyoni kwangu na nikijaaliwa mtoto wa kiume nitampa jina lake ili kumuenzi
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom