Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Kifo kinauma jamani... Mungu awatie nguvu wafiwa maana nahisi bado alikuwa kijana mdogoPia ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwashirikisha kuhusu uzi huu wengine ni EMYDUY,Sissya, baadhi majina nimewasahau
Japo waanzilishi wakuu ni Bailly,Jimena na mimi.....maana hata kabla ya wao kuja chemba sisi wa3 tulikuwa tayari ni marafiki wa JF
Duh ukiziangalia post zake kule mwanzoni utaelewa
.......
