Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Lakini zipo nchi zilizo kimya ambazo zinaweza kumtuliza bwana mdogo
4 example?Lakini zipo nchi zilizo kimya ambazo zinaweza kumtuliza bwana mdogo
4 example?Duuuuu... Babu anatishaaaAnasema sana,kuna siku walimuuliza kwanini hajaachia madaraka akasema hili swali ni kwa viongozi waafrika tu...mbona malkia Elizabeth haulizwi...niambie atatoka lini madarakani?![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app

Mama mchuchu leo naona unatumia tecno ...kesho itel si etiii ??
mkweo huyo lakini!?

Tom jerry na d

Nzuri mdauuHabari za asubuhi wadau
.....
KumbeMojawapo Urusi
Pole mkuuNaendelea vzr kiasi niko ila roho haina amani I don't know why
Ila Mungu atanisimamia
NakusalimuuHusna muba mpendwa wa Obe niambie
WerevaaTecno H6
Kwani anaumwa ama nn?Simama Imara katika maombi,utashinda mpendwa Mungu anakupenda sana,mimi nakupenda sana,MAKAPUKU wanakupenda sana stop worrying..GOD is controling everything...I LOVE YOU MUMMY,PRAYING FOR YOU.
YEREMIA 29
11.Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi,asema BWANA,ni mawazo ya amani wala si mabaya , kuwapa tumaini siku zenu za mwisho
12.Nanyi mtaniita ,mtakwenda na kuniomba,nami nitawasikiliza
13.Nanyi mtanitafuta na kuniona,mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
14.Nami nitaonekana kwenu,asema BWANA.
HIYO NI AHADI YA MUNGU KWETU...OMBA ATASIKILIZA NA KUKUPA AMANI ,HAKIKA HATAKUACHA PEKE YAKO.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ni hiyo hali uliyompa polePole mkuu
Achana naeeKisa cha kucheka??
NnMmmmmmh...!!!!