Makapuku Forum

Makapuku Forum

Maisha ni jinsi ulivyoigusa mioyo ya watu sio miaka uliyoishi
Au tuseme Mali/mchango wako kwa familia/ndugu/jamaa/marafiki

Mi best friend wangu alifariki akiwa na miaka 20 tu ila bado anaishi moyoni kwangu na nikijaaliwa mtoto wa kiume nitampa jina lake ili kumuenzi
........
Amen ,powerful[emoji120]
 
Huyo ndo mapanki
Roho mbaya alianza wakati akinyonya
Ujasiri alianza wakati akitambaa
Mbwembwe alianza alipojua kutembea
Ubabe alijifunzia Ikulu babaye akiwa rahisi
Na mzuka umempanda zaidi Trump alipoingia White House
81b33eff895fb43df71df7fd3f9900d2.jpg

Mapanki endelea tu
.....
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Inaelekea anakukosha kweli huyu

Baba yake alikuwa "rais"sio "rahisi"
Midadi imekupandaa mwenyewe[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom