Makapuku Forum

Makapuku Forum

456e5e08c732faee3ec99c1ea6b219c1.jpg
0f3f0a6af95824cbffe525db1f09fcdb.jpg

Alizaliwa mwaka 1943 na kufariki dunia 1993 akiwa na umri wa miaka 49
......
R.I.p arthur
 
Aunt....sio ndege lilikuwa ni kombora H 10 na ni kwelii lilishindwa kuruka kitu ambacho kilibezwa sana hasa nchi zinazomfatilia huyu jamaa ikiwemo ya Trump ...ni kawaida kutest mambo kabla ya kuuingia kwenye battle ...ila soon liliruka kama kawaida na baada ya wiki mbili nakumbuka ulikuwa mkutano wa G8 jamaa akayarusha ...

Jana ndo ilikuwa komesha make ata hilo la jana mwanzoni liligoma kuruka ...ila hili lina impacts kubwa ndo maana mpaka state wameamua kukutana ...japo mzee mapanki aliwafanyia suprise kwenye kumbukumbu za uhuru wa Marekani ...
Hapana chezea mapankii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom