Makapuku Forum

Makapuku Forum

WARUMI 15

7.Kwahiyo mkaribishane ninyi kwa ninyi ,kama naye Kristo alivyotukaribisha,ili MUNGU atukuzwe.

8.Kwamaana nasema ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu ,kusudi athibitishe ahadi walizopewa baba zetu.

9.Tena ili mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake,kama ilivyoandikwa,kwa hiyo nitakushukuru kati ya mataifa,nami nitaliimba jina lako .

10.Na tena anena Furahini ,Mataifa pamoja na watu wake.

11.Na tena Enyi Mataifa yote,msifuni BWANA,Enyi wote mhimidini.

12.Na tena Isaya anena,litakuwapo shina la Yese Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa,Ndiye Mataifa watakayemtumainia

13.Basi MUNGU wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani,katika kuamini ,mpate kuzidi sana kuwa na tumaini,katika nguvu za Roho Mtakatifu.

MUNGU AWABARIKI MCHANA MWEMA
Ameeen
Nawe pia barikiwa mamy
 
WARUMI 15

7.Kwahiyo mkaribishane ninyi kwa ninyi ,kama naye Kristo alivyotukaribisha,ili MUNGU atukuzwe.

8.Kwamaana nasema ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu ,kusudi athibitishe ahadi walizopewa baba zetu.

9.Tena ili mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake,kama ilivyoandikwa,kwa hiyo nitakushukuru kati ya mataifa,nami nitaliimba jina lako .

10.Na tena anena Furahini ,Mataifa pamoja na watu wake.

11.Na tena Enyi Mataifa yote,msifuni BWANA,Enyi wote mhimidini.

12.Na tena Isaya anena,litakuwapo shina la Yese Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa,Ndiye Mataifa watakayemtumainia

13.Basi MUNGU wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani,katika kuamini ,mpate kuzidi sana kuwa na tumaini,katika nguvu za Roho Mtakatifu.

MUNGU AWABARIKI MCHANA MWEMA
amen
 
1fd7035a490e6d34730fed17def606f5.jpg
c2eec5df741d373b58ba2fc1d20cac13.jpg
Ubarikiwe Sakayo wa T,asante sana sana
 
WARUMI 15

7.Kwahiyo mkaribishane ninyi kwa ninyi ,kama naye Kristo alivyotukaribisha,ili MUNGU atukuzwe.

8.Kwamaana nasema ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu ,kusudi athibitishe ahadi walizopewa baba zetu.

9.Tena ili mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake,kama ilivyoandikwa,kwa hiyo nitakushukuru kati ya mataifa,nami nitaliimba jina lako .

10.Na tena anena Furahini ,Mataifa pamoja na watu wake.

11.Na tena Enyi Mataifa yote,msifuni BWANA,Enyi wote mhimidini.

12.Na tena Isaya anena,litakuwapo shina la Yese Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa,Ndiye Mataifa watakayemtumainia

13.Basi MUNGU wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani,katika kuamini ,mpate kuzidi sana kuwa na tumaini,katika nguvu za Roho Mtakatifu.

MUNGU AWABARIKI MCHANA MWEMA
Amen
 
Three touching Charlie Chaplin's statements

1.Nothing is permanent in this world,not even your problems/troubles.

2.I Like walking in Rain Because,No Body can see my tears.

3.The Most Wasted Day in Life is the Day which we have NOT laughed

LIFE is to Enjoy with Whatever you have,with you.

Keep Smilling

PEACE AND LOVE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom