BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
AmeeenWARUMI 15
7.Kwahiyo mkaribishane ninyi kwa ninyi ,kama naye Kristo alivyotukaribisha,ili MUNGU atukuzwe.
8.Kwamaana nasema ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu ,kusudi athibitishe ahadi walizopewa baba zetu.
9.Tena ili mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake,kama ilivyoandikwa,kwa hiyo nitakushukuru kati ya mataifa,nami nitaliimba jina lako .
10.Na tena anena Furahini ,Mataifa pamoja na watu wake.
11.Na tena Enyi Mataifa yote,msifuni BWANA,Enyi wote mhimidini.
12.Na tena Isaya anena,litakuwapo shina la Yese Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa,Ndiye Mataifa watakayemtumainia
13.Basi MUNGU wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani,katika kuamini ,mpate kuzidi sana kuwa na tumaini,katika nguvu za Roho Mtakatifu.
MUNGU AWABARIKI MCHANA MWEMA
![]()
![]()
Kabisaaa wapo kurasini pale wanakituo kikubwa na wanatoa huduma kwa walemavu
![]()
IPO siku itakuwa "batoto bazuri batatu batatu" maana jamaa anapenda sifa km nn!

amenWARUMI 15
7.Kwahiyo mkaribishane ninyi kwa ninyi ,kama naye Kristo alivyotukaribisha,ili MUNGU atukuzwe.
8.Kwamaana nasema ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu ,kusudi athibitishe ahadi walizopewa baba zetu.
9.Tena ili mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake,kama ilivyoandikwa,kwa hiyo nitakushukuru kati ya mataifa,nami nitaliimba jina lako .
10.Na tena anena Furahini ,Mataifa pamoja na watu wake.
11.Na tena Enyi Mataifa yote,msifuni BWANA,Enyi wote mhimidini.
12.Na tena Isaya anena,litakuwapo shina la Yese Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa,Ndiye Mataifa watakayemtumainia
13.Basi MUNGU wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani,katika kuamini ,mpate kuzidi sana kuwa na tumaini,katika nguvu za Roho Mtakatifu.
MUNGU AWABARIKI MCHANA MWEMA
![]()
![]()
Wapi nimesema nakulove?!
Huo ni wimbo Wa Celine Dion unaitwa hivyo![]()
![]()

Asante mummy,you good mummy?miss you hereAmeeen
Nawe pia barikiwa mamy
Karibu sana ,za uzimaamen
Njema karibu,hongeraHabari ya mchana wana jukwaa
Nawasilisha tu kuwa nimehama kutoka adidas na sasa niko na nike
Chelsea forever
AmenWARUMI 15
7.Kwahiyo mkaribishane ninyi kwa ninyi ,kama naye Kristo alivyotukaribisha,ili MUNGU atukuzwe.
8.Kwamaana nasema ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu ,kusudi athibitishe ahadi walizopewa baba zetu.
9.Tena ili mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake,kama ilivyoandikwa,kwa hiyo nitakushukuru kati ya mataifa,nami nitaliimba jina lako .
10.Na tena anena Furahini ,Mataifa pamoja na watu wake.
11.Na tena Enyi Mataifa yote,msifuni BWANA,Enyi wote mhimidini.
12.Na tena Isaya anena,litakuwapo shina la Yese Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa,Ndiye Mataifa watakayemtumainia
13.Basi MUNGU wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani,katika kuamini ,mpate kuzidi sana kuwa na tumaini,katika nguvu za Roho Mtakatifu.
MUNGU AWABARIKI MCHANA MWEMA
![]()
![]()
KuumbeKabisaaa wapo kurasini pale wanakituo kikubwa na wanatoa huduma kwa walemavu
Mkweo huyoo
HongeraaaaHabari ya mchana wana jukwaa
Nawasilisha tu kuwa nimehama kutoka adidas na sasa niko na nike
Chelsea forever
Mi Niko poa tuNiaje mazee hope mko poa,
Demi jibu hujanipa..
Three touching Charlie Chaplin's statements
Because,No Body can see my tears.