Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Martian Flag
cc6e3660076f60d51debff60bccd73be.jpg

Inajulika zaidi kama Mars Flag au Planetary Flag
Ni bendera ya safari ya Mars...inatumiwa na Mars Society na pia Planetary Society
Wenzetu wanajiandaa kuishi huko sisi tunagombea mchanga
.....
Life is possible in mars,provided you go with supportive equipments,supply of oxygen,supply of water....and ready to stuggle maana huko hakuna hewa ya Oxygen,hakuna maji,na force ya gravity ni ndogo kuliko ya duniani...ila wanasayansi wataweza
 
1/Nazi Flag
7483c5fe93f90df6c3bc3a2e5bb8ec75.jpg

Mbunifu wa Hii bendera ni Adolf Hitler sijajua alikuwa na madhumuni gani ila ilikuwa kwa ajili ya uzalendo zaidi
Ikasambaa na kutumika kwenye mataifa kibao kama kiashiria cha unazi kisha ikazuiwa kwenye mataifa mengi miaka ya baadaye
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Asante kwa kumi kubwa
 
Muziki: Makosa Hayako Mbali, Ikaribie Sheria

Ni siku nyingine tena tunakutana hapa baada ya kuwa tumefanya michakato ya kujiingizia kipato. ubinadamu kamili ni kuwajibika kwako mwenyewe, family na taifa kwa ujumla.

Nasema kila wakati na sitochoka kusema kuwa uwepo wako hapa, yes, wewe Kapuku mwenzangu una maana kubwa sana kwenye jukwaa hili. Hii ni kwa sababu unaleta kitu cha ziada ambacho huwezi kukipata sehemu nyingine (well, huwa nakuwa hapa mara nyingi na lile Jukwaa la chini kabisa-kuliweka kwao chini kulinifanya nikatafiti, sikufanya makosa)

Kuliwekwa picha ya mtoto akichafua sakafu isiyokauka na wadau torvic , Clkey , Sakayo na BH kutaja wachache walichangia na haja ya mtoto kuachwa ajifunze ikaibuka nami naongeza makosa ni kosa, hilo la kwanza. Si kwa mtoto wala mtu mzima isipokuwa mtoto ana haki ya kuyafanya maana asipoyafanya sasa kujifunza itakuwa ngumu. Anaruhusiwa kufanya makosa akijifunza kutembea, ataanguka na usipomwangalia ataamka na kutembea tena, ukimwangalia atajua kakosea na atalia umuhurumie. Tuwafundishe watoto kuwa mbali na makosa sababu sheria ikaribiwe kisawasawa. Sijamaliza.

Kingine, leo Wi-Fi hapa ninapodoea imekuwa na shida na inakuja kwa mbwembwe kama ripoti ya makinikia lakini nikitaka niupload itu inagoma yaani kama waziri anakataa kuwa ripoti ya makinikia ni ya rahisi na kwa kuwa wewe si rais sahau kujua kilichomo.

Muziki sasa, wakati mwingine ni furaha sana kumtazama mwanamuziki akighani bila kuwaona wapiga vyombo kama gitaa, tumba na kadha wa kadha vyombo. Ndicho tutakachoangalia leo

Anaitwa Rory Graham almaarufu Rag'n'Bone Man, na sasa hivi anatamba na wimbo wake Human. Ni mwingereza na sifa zake zinatambaa sasa kutokana na wimbo huu ambao unachezwa sana online. Hebu burudika na wimbo huu, natamani mashairi niliyokuwa naandika miaka ya A-level ningeyawekea umiliki maana hakyanani tena mengi yaliyoimbwa yamefanana

 
Mwalimu ni mtu muhimu sana katika taifa, yeyote mwenye kujitambua kapita katika mikono ya mwalimu. na mind you, nawaongelea walimu kisasa na wa mazingira.

Sijui kama nimeweza kukata kiu yako ya jibu
Nafikiri hukunielewa...

Nimeuliza, ni nani anaeweza kuitwa mwalimu????
 
Muziki: Makosa Hayako Mbali, Ikaribie Sheria

Ni siku nyingine tena tunakutana hapa baada ya kuwa tumefanya michakato ya kujiingizia kipato. ubinadamu kamili ni kuwajibika kwako mwenyewe, family na taifa kwa ujumla.

Nasema kila wakati na sitochoka kusema kuwa uwepo wako hapa, yes, wewe Kapuku mwenzangu una maana kubwa sana kwenye jukwaa hili. Hii ni kwa sababu unaleta kitu cha ziada ambacho huwezi kukipata sehemu nyingine (well, huwa nakuwa hapa mara nyingi na lile Jukwaa la chini kabisa-kuliweka kwao chini kulinifanya nikatafiti, sikufanya makosa)

Kuliwekwa picha ya mtoto akichafua sakafu isiyokauka na wadau torvic , Clkey , Sakayo na BH kutaja wachache walichangia na haja ya mtoto kuachwa ajifunze ikaibuka nami naongeza makosa ni kosa, hilo la kwanza. Si kwa mtoto wala mtu mzima isipokuwa mtoto ana haki ya kuyafanya maana asipoyafanya sasa kujifunza itakuwa ngumu. Anaruhusiwa kufanya makosa akijifunza kutembea, ataanguka na usipomwangalia ataamka na kutembea tena, ukimwangalia atajua kakosea na atalia umuhurumie. Tuwafundishe watoto kuwa mbali na makosa sababu sheria ikaribiwe kisawasawa. Sijamaliza.

Kingine, leo Wi-Fi hapa ninapodoea imekuwa na shida na inakuja kwa mbwembwe kama ripoti ya makinikia lakini nikitaka niupload itu inagoma yaani kama waziri anakataa kuwa ripoti ya makinikia ni ya rahisi na kwa kuwa wewe si rais sahau kujua kilichomo.

Muziki sasa, wakati mwingine ni furaha sana kumtazama mwanamuziki akighani bila kuwaona wapiga vyombo kama gitaa, tumba na kadha wa kadha vyombo. Ndicho tutakachoangalia leo

Anaitwa Rory Graham almaarufu Rag'n'Bone Man, na sasa hivi anatamba na wimbo wake Human. Ni mwingereza na sifa zake zinatambaa sasa kutokana na wimbo huu ambao unachezwa sana online. Hebu burudika na wimbo huu, natamani mashairi niliyokuwa naandika miaka ya A-level ningeyawekea umiliki maana hakyanani tena mengi yaliyoimbwa yamefanana


Asante Obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom