Katika dondoo za bbc. ..

Korea Kaskazini yarusha kombora lingine katika bahari ya Japan.

Mgomo wa Wahadhiri nchini Kenya waingia siku ya pili, kushinikiza serikali kutimiza mkataba wa nyongeza ya mishahara na marupurupu uliotiwa saini, hali inayowaathiri wanafunzi.

[Ethiopia imeanza ujezi wa viwanda viwili vinavyo tarajiwa kutoa maelfu ya nafasi za kazi kwa wasio na ajira na wakimbizi kutoka nchi jirani.

Wendesha mashtaka nchini Uganda wametishia mgoma endapo madai yao yakiwemo ya nyongeza ya misahara hayatekelezwa katika kipindi cha siku saba zijazo.