Makapuku Forum

Makapuku Forum

shululu , anko lee empire na BlessedHope ninyi wadau hunianzishia siku yangu kwa uzuri sana. Magazeti, UF na BBC jumlisha Sala kwa mfuatano wa majina.
Ninathamini mchango wenu asubuhi hii na wakati wote. Asanteni bila kusahau najipongeza na Mimi mpenzi msomaji
Ubarikiwe Obe,tunakuthamini sana kwa mchango wako asante
 
Kirat
e95aa860c26c5daf8398965313bf3d58.jpg
Hahaha
 
Katika dondoo za bbc. ..



Korea Kaskazini yarusha kombora lingine katika bahari ya Japan.

Mgomo wa Wahadhiri nchini Kenya waingia siku ya pili, kushinikiza serikali kutimiza mkataba wa nyongeza ya mishahara na marupurupu uliotiwa saini, hali inayowaathiri wanafunzi.

[Ethiopia imeanza ujezi wa viwanda viwili vinavyo tarajiwa kutoa maelfu ya nafasi za kazi kwa wasio na ajira na wakimbizi kutoka nchi jirani.

Wendesha mashtaka nchini Uganda wametishia mgoma endapo madai yao yakiwemo ya nyongeza ya misahara hayatekelezwa katika kipindi cha siku saba zijazo.
Mdau dondpo Na tetesi za usajili km vipi uwe unazituma mojamoja yaani inakuwa rahisi kuzijadili
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom